Aisee pole sana, yaani siyo huyo dada tu hadi ndg zake na wazazi wake hawana huruma na ww,
Kwann wanakuendesha hivyo?
Halafu pia inaonekana hujawahi waonesha msimamo wako,, aisee mwanaume msimamo ni wa muhim san ktk mambo ya msingi,
Ushauri wangu: Huyo hakufai, hajajitambua na pia ukimwoa jiandae kuendeshwa na hiyo familia ya kwao,
Inaonesha dhahiri anapokea maaelekezo toka kwao , hana mamuz yeye km yeye, ni hiyo ni shida kubwa sana ktk maisha ya ndoa,
So amua vema kabla ya kufabya maamuzi ndg,
Mwisho: Usiache kulea mtoto kwa garama yyte ile,
Sent using
Jamii Forums mobile app