Soma haya matukio, halafu naomba ushauri

Soma haya matukio, halafu naomba ushauri

Ternado,
chukua mtoto wako kaa kimya hao wote hawana hekima kuanzia baba yake mpaka yeye mwenyewe. mtoto ni wako hivyo ww ulistahili upewe kipaumbele hata kama wana mambo yao ya kumfanyia mzazi na kumkanda walistahili kukueleza mpaka ufikie makubaliano sio kusema ni amri.
 
Huyo unamuendekeza tu ndo maana anafikiri anaweza kukujaza upepo na wewe ukajaa.Katika maisha mwanaume lazima uwe na kanuni zako hata kama ni za kipumbavu.Ukisema hapana usiseme ndio mpaka iwe kesi.na ukisema ndio usiseme hapana mpaka iwe kesi.

Mwanamke akiwa na mimba wakati mwingine ankuwa na wenge.Ukimuendekeza anazoea ili ukimbadilikia akili inakaa sasa.Kama ameshajifungua na yuko kwao huyo muache huko kwao.Akikutafuta muulize unataka nini akileta habari za mtoto mwambie utamtafuta siku ukimuhitaji au la akae nae ni zawadi umempa.Akileta habari za matuzno mwambie kama hawezi kumtunza mwenyewe akupe utamtafutie mama anayejielewa amtunze.

Kwa ufupi hakikisha unamuonesha kwamba umechafukwa na hutaki ujinga ujinga.Akikiuletea watu uongee nao waambie sina cha kujadili hapa umeshaamua.

Wanawake ni viumbe ambao unahitaji akili sana kukaa nao vinnginevyo wanweza kukupa ugonjwa wa moyo sasa ili wewe usiugue hakikisha unawapa wao ugonjwa moyo ili akili ikae sawa.

Kwa ufupi ushauri wangu ndio huu-Muoneshe ubandidu uliotukuka
 
Inawezekana kabisa na wewe una matatizo makubwa, ya huyo mzazi mwenzio ni makubwa mno.
Ukioa huyo maisha yako na ya mwanao yatayumba sana.
Huyo sio mwanamke wa kuoa, familia yake ni tatizo kubwa zaidi ya huyo mwanamke.
 
kakudharau mpk anakuita shogha!!!! Hyo ni muhuni na usishangae ata hyo mtoto akawa amekubambikia, achana nae bwashee.
Kuna uwezekano mkubwa huyo mtoto sio wa jamaa au mwanamke na ndugu zake walikuwa hawana uhakika wa baba wa mtoto.
Unakuta mwanaume mwenzio kakataa kukubali mimba au kumuoa.
 
Kaka pole ,ila huyo mwanamke ana mafunza kichwani
Achana naye kabisa..ukitaka kuharibikiwa na maisha yako ww mtoleee mahali umuowe hutaaamini

Ww cha kufanya jiepushe na yyy na inawezekana hata uujauzito sio wako ....na kwao wanamfahamu muhusika ila wanakuwa sio wakweli wa mambo

Kaka nakwambia angalia kwa jicho la tatu ukitaka kuona ndoa chungu muowe huyo mwanamke

sent from toyota Allex
 
Siamini huyo bibie ana matatizo ila nawe una makosa haiwezekani mwanamke akubali kubeba mimba kisha akatae kutambulishwa kenu umeficha vitu vingi kwenye hii story yako.
Kuna mwanamke una date naye mimba sio kigezo wala tiketi ya kutambulishwa

sent from toyota Allex
 
Kuna mwanamke una date naye mimba sio kigezo wala tiketi ya kutambulishwa

sent from toyota Allex
Ni kweli ila nina wasiwasi pengine kuna tatizo zaidi alichoandika mtoa mada haiwezekani ghafla bibie abadilike na kukataa kutambulishwa
 
Back
Top Bottom