Mtoto wa kwanza huwa ni wa upande wa mume, ukiacha hivyo pia mtoto anapozaliwa kuna watu wengine huwa wanamfanyia mamila.
Sasa mtoto wangu akifanyiwe mamila ukweni, wengine huwa wana nenewa maneno wakiwa wachanga ambayo huweza kuathiri mstakabali wao mbele.
NB:
Mwanangu atofanyiwa mila yoyote wala hatovaa chochote aidha mkononi, shingoni au kiunoni.
sawa kabisa kuna nadharia pia ya mzazi kuridhika na matunzo au uangalizi atakaopewa binti pindi atakapojifungua since n uzazi wa kwanza maanake kila kitu ni kipya kwake ,,,,,,,,ndo maana wazazi wa mtoto wa kike hutamani sana uzazi wa kwanza wamtunze wenyewe,,,,alaf pia mkuu ukiona kuna siasa zinataka kujipenyeza kwenye ndoa yako piga stop mke wako asiende kwao wala kwenu ,,,,,,akijifungua ingia mzigoni inawezekana kabisa hata kama umeajiriwa au umejiari ,,,,,unaamka mapema unamwandaa mkeo then unatoka kwa mwenzi wa kwanza ukifanya effectively trust me baada ya hapoo n mara moja moja utamsaidia ukiwa nyumban ,,,,,,,,,alaf ndoa nyingi au mahusiano mengi huaribika pale tuuu unaporuhusu unnecessary siasa sijui mama,sijui mamakwe sijui wifi tupa kule mpka mnazaa naamini umlikuwa mnapendana