Soma haya matukio, halafu naomba ushauri

Soma haya matukio, halafu naomba ushauri

Maamuzi yako ya leo ndy matokeo ya kesho, ila in short huyo ni mswahili sana muache lea mtoto tu.
 
hapo huna mwanamke ...bali ulikutana na jini mkata kamba...kama hiki kisa chako kina ukweli..basi naomba nikuambie hata family ya huyo mwanamke sio family/ukoo wa kuoa ...hawana nidhamu....ilikiwaje watake kumchukua binti yao bila ya kuja kumuomba kwa wazazi wako (hizo ni dharau )
 
hapo huna mwanamke ...bali ulikutana na jini mkata kamba...kama hiki kisa chako kina ukweli..basi naomba nikuambie hata family ya huyo mwanamke sio family/ukoo wa kuoa ...hawana nidhamu....ilikiwaje watake kumchukua binti yao bila ya kuja kumuomba kwa wazazi wako (hizo ni dharau )
Jamaa alimuoa huyo bibie au alikuwa anaishi nae mnapenda kurahisisha mambo hajaoa hana amri ya huyo mwanamke
 
Aisee mie mwanamke asije jaribu kuniletea upuuzi kama huo, Wakwe wenyewe wanatakiwa wakae mguu sawa na mimi.
 
Mkuu tafuta mbesai inaonekana hao wamekuzidi kiuchumi ndio maana wanaleta viroja
Lea mwanao mkuu
Ijapokuwa mama ndio anajua baba wa mtoto ni nani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
duuuh,au na wewe una mabaya yako,lakini pamoja na hivyo hiyo reaction yake kwake sio nzuri,ni basi tu adabu za wanawake wengi zimekuwa ndogo sana.Hata ukimwacha lazima utakaye mpata nae atakuwa na dosari zake,cha msingi yajue mapungufu yake,jipime je utayamudu? ili mbeleni yakija kutokea usije anzisha uzi tena,otherwise unamtaftia sababu za kumuacha!
 
Ndio wakamchukue hospital?
Mkuu binti ambaye hujamuona tena umeikosea adabu familia kwa kumzalisha binti yao una kauli nae wazazi wakitaka kumchukua binti yao hospital. Naomba comment yangu usijibu kiushabiki.
 
Jamaa alimuoa huyo bibie au alikuwa anaishi nae mnapenda kurahisisha mambo hajaoa hana amri ya huyo mwanamke
😃😃kama wanalijua hilo basi hawakupaswa kumsusia binti na kumuambia akamchukue ...so kama hiyo ndio logic kuwa hajamuoa ..so walimpa akakae nae akiwa kama nani ?
 
Back
Top Bottom