professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Moja ya jambo serikali inatakiwa kutake kwa umakini sana ni eneo la mahusiano, naona kuwa serikali inatakiwa kuanzisha somo la mahusiano kuanzia primary hadi university level.
Naweza Sema mahusiano ni Kila kitu, vijana wengi wanapoteza dira ya maisha sababu hasa ukitazama ni eneo mahusiano, watu wanashidwa kufanya kazi kwa ukamirifu kwenye ofisi za Umma moja ya sababu ni eneo la mahusiano.
Tazama migogoro ya ndoa,watu wanauwana chanzo kikuu ni gap lilipo kwenye elimu na ufahamu wa mahusiano.
Hata haya mambo ya mapenzi ya jinsia moja, mambo ya wanaume kufanya mapenzi kupitia haja kubwa kwa wanawake naoana chanzo ni gap juu ya eneo la mahusiano
Kwa mjumuisho eneo la mahusiano linaweza kuamua hatima na ustawi wa taifa .
Naweza Sema mahusiano ni Kila kitu, vijana wengi wanapoteza dira ya maisha sababu hasa ukitazama ni eneo mahusiano, watu wanashidwa kufanya kazi kwa ukamirifu kwenye ofisi za Umma moja ya sababu ni eneo la mahusiano.
Tazama migogoro ya ndoa,watu wanauwana chanzo kikuu ni gap lilipo kwenye elimu na ufahamu wa mahusiano.
Hata haya mambo ya mapenzi ya jinsia moja, mambo ya wanaume kufanya mapenzi kupitia haja kubwa kwa wanawake naoana chanzo ni gap juu ya eneo la mahusiano
Kwa mjumuisho eneo la mahusiano linaweza kuamua hatima na ustawi wa taifa .