Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,046
- 69,520
Rangi yake ibaki ileile ya kwenye App ya zamani itapendeza sana
Inakuletea meseji gani?Salute,
Nimejaribu kuupdate play store jf imenigomea
Tatizo nini jamani?
Hapo ndo shida,mimi nimetoka kuunstall mda si mrefuView attachment 695622
Mkuu bado kuna issues..
Nimelog out... kuja kusign in kuna option ya kuweka user name na password ila option ya kuruhusu kuingia haipo.
Aisee mimi mpaka leo asubuhi sipati notifications. Hivyo nikawa naingia na kwenye web ili nione kama nina notifications.Mkuu, mie nilipo-update notifications zilikuwa haziji bt tokea jana notifications zinaingia kwa wakati kama kawa.. Tatizo pekee ambalo bado naliona mie likes kutozidi 5 kwenye hiyo App ya Jf..
Ni kweli mkuuMaboresho lazima yalete shida kidogo ila tutazoea tu
Aisee mimi mpaka leo asubuhi sipati notifications. Hivyo nikawa naingia na kwenye web ili nione kama nina notifications.
Itakuwa umeziblock mkuu kaangalie kwenye setting zako za simuMimi nipo na hii ya zamani na notifications haziji sijui nini
Ndo maendeleoAsante kwa kuirejesha JF kwenye play store!
Tatizo sioni button ya New Topic kwenye version JF. Je imeondolewa?