Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Mkuu Sosoliso, asante kwa feedback.

Tunakushukuru kwa kutambua baadhi ya maboresho na kuyaainisha. Tunaendelea kufanya maboresho zaidi kwenye baadhi ya maeneo machache yaliyosalia.

Pamoja!
log in imekuwa tatizo.....inaleta options za username na password tuu
 
Itapendeza Mama Yeyoo. Kazi ni kwako
Baba yeyoo no yake hiyo anaitwa hemed sema yupo dar now kama ukiwa tayari ukimtafuta atakupa mtu wa kuonaa nae umpe 0629 565168 unichanganyie wa babu issa na kiponda usininunulie kiroba wasije wakakataa kunibebea
 
Baba yeyoo no yake hiyo anaitwa named sema yupo dar now kama ukiwa tayari ukimtafuta atakupa mtu wa kuonaa nae umpe 0629 565168 unichanganyie wa babu issa na kiponda usininunulie kiroba wasije wakakataa kunibebea

Kiponda wa tangawizi? Kuna wa embe ubuyu na wa kawaida wenye pilipili.
 
Salute,


Nimejaribu kuupdate play store jf imenigomea


Tatizo nini jamani?
 
Kwa wale watumiaji wa Night Version kiukwel imekua ina mwanga flani wa mng'aavu hivi mpk haipendezi tena.

Tunaomba mrekebishe irudi ile Night version tuliyoizoea
 
Ila kama alivyosema mdau mmoja hapo juu,kuna hili tatizo naamini shida siyo network kuna umuhimu wa kurekebisha kitu
9b76069e35d7546a11a01b8e3848fa06.jpg
 
Kwangu naomba rangi irudi ile ya mwanzo ndio nzuri kuliko hii blue ya sasa hivi. Kingine font size hii naona kubwa sana ipingue kidogo iwe same size na ile ya mwanzo.
Natumia ios device.
Hongereni sana ni app nzuri
 
Nenda good search app flani inaitwa blackmart idownload then install kwenye simu halafu ingia huko itafute jf utaipata na kuinstall kwenye simu yako
 
Back
Top Bottom