Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Mkuu, mie nilipo-update notifications zilikuwa haziji bt tokea jana notifications zinaingia kwa wakati kama kawa.. Tatizo pekee ambalo bado naliona mie likes kutozidi 5 kwenye hiyo App ya Jf..
Na sasa hivi hakuna raha ya kusoma habari ambayo ina aya mbili au zaidi maana hakuna space kati ya aya na aya, sehemu ya space imejazwa na hizi alama. <b>>> yaani hadi keroooo.



Nawasilisha malalamiko.
 
Ndo maendeleo
Any way umefikaje hapa sasa bila hako kaneno.
Sorry, Niliiimanisha New New Posts labda nimekosea kutumia neno new topics. ni kwamba kwa kutumia simu, nikiingia kwenye JF kwa kutaka kuokoa muda hupenda kutumia button ya new posts ila sasa siioni baada ya ku install hii app mpya. Hapa natumia laptop(swali lako kwa,ba nimefikaje hapo bila hako kaneno)
 
Na sasa hivi hakuna raha ya kusoma habari ambayo ina aya mbili au zaidi maana hakuna space kati ya aya na aya, sehemu ya space imejazwa na hizi alama. <b>>> yaani hadi keroooo.



Nawasilisha malalamiko.
Kwa kesi kama hii hebu jaribu kulog out na kulog in tena
 
Hata link ya "participated" mimi siipati, na sidhani mimi ni mshamba kihivyo!! Mods!!
 
Matumaini yetu ni kwamba wataweka sawa hizi ishu ndogo ndogo
JF ni jamvi la siku nyingi lenye wataalamu wa IT waliobobea. Ni aibu kusema "ishu ndogo ndogo", ambazo huonesha umakini na umahiri wa mtu.
 
Naona hii app iko complicated kuliko ile ya mwanzo sasa tatizo wengi hawajazoea kutumia vitu vyenye complications mambo mengi na pia elimu na umri ni tofauti humu lazima mtu aone shida,ila nimeitumia kwa siku kama tatu sasa naona naizoea na naiona nzuri sana,napata kila kitu hata notifications zinafika vyema na kama kitu kikitokea niko offline nikiingia tu online napata notifications,natumia ios device iko poa sana rangi tu najitahidi kuizoea maana imekaa kifacebook sana ila ya mwanzo ilikua unique mno.

Nimependa sifa ya picture kuanimate mwanzoni ilikua mpaka nitumie web but now hata kwenye hii app naona zina animate heko sana kwa hilo

Pia nimezipenda sana option ya kupost picha ambapo kuna best na resolutions 2 za kuchagua,mwanzoni nilikua napata shida npaka nipost kama attachment ndio inakubali
 
Sijui kama mimi ndio sijajua kuitumia ama lahhh ila dahh sion like wala quote wala chochote kile kwenye notification kumetoa mpangilio wa uzi tu ,,, yani app imeniendea vibaya mm nat
browse tu
 
Salaam,

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.

Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.

Kuna swali lolote?

Karibu.. Bonyeza HAPA kuupdate
Senkyuuuu
 
Yan notification za mwaka 2017 na kurud nyuma ndio zilizopo ,, dah
 
Salaam,

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.

Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.

Kuna swali lolote?

Karibu.. Bonyeza HAPA kuupdate
Asante sana... Langu ni hili mlituahidi kutuongezea jukwaa la mambo ya giza kwenye maboresho mapya lakini hili sijaliona
 
Nimefungua app ya JFleo asubuhi nimekuta mabadiliko makubwa na imefanywa kuwa more user friendly. Hongera sana haya ndio maendeleo. I wish one day iwe maarufu kama Twitter kwa east and central Africa.
 
Back
Top Bottom