Nyuma ya stendi wacha tu nahisi kuzimiaSoko liko wapi?
Pale stendi au?
Duh poleni. Je hapo tegeta kuna soko jingine kubwa zaidi ya hilo?Soko la Tegeta Nyuki linawaka moto muda huu. Magenge, maduka na vibanda vinaungua si mchezo aisee Mungu atunusuru na haya majanga.
Chanzo cha moto huo inasadikika kuwa ni hitilafu ya umemeView attachment 1361274
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzigo wa supu?Kuna dada mmoja anauza supu kwenye zile fremu za stand ana mzigooo.
Sent using Jamii Forums mobile app