VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Ehh dada wewe!!!!
Kama saivi unaona una muda wa ku spend sana.
Piga hesabu pia kua umri ukienda utamudu kuendesha maisha kwa ku spend...
Umri ukienda Utakupa pressure ya kutaka wanaume sasa wawe wakweli kwako ...
Wakati kipindi kile walikuja wakweli kwako uliona hujamaliza ujana ukachagua kula pesa zao na kuwaumiza...
Umri ukienda hata kama una biashara yako hakikisha unaweza sasa ku mudu hasira maana utakua upo single ila changamoto yoyote mwanaume akitaka kukutatulia atakutaka ki mapenzi hata kama ana sura kama nyani zee
Umri ukienda...je utamudu kufanywa mchepuko wa kudumu ili upate msaada wa watoto wako ulio zaa na yule kijana bishoo kipindi cha viwanja ukitaka kuzaa watoto wa muonekano...ili mtaani tukusifie kua una mtoto mzuri ...
Umri ukienda umejiandaaje..kusemwa umekalia umalaya tu hakuna lolote wakati wadogo zako mtaani uliokua unawaona wanakuja na kuolewa kwa ndoa wewe upo tu na skin care umekalia ku grow
Upweke utaumudu Msongo wa mawazo utakabiliana nao...
Vipi kudharaulika maana kila mgeni mtaani akija anaonyeshwa wewe ndio demu wa haraka haraka wa kukula apoze nyege zake...
Kama saivi unaona una muda wa ku spend sana.
Piga hesabu pia kua umri ukienda utamudu kuendesha maisha kwa ku spend...
Umri ukienda Utakupa pressure ya kutaka wanaume sasa wawe wakweli kwako ...
Wakati kipindi kile walikuja wakweli kwako uliona hujamaliza ujana ukachagua kula pesa zao na kuwaumiza...
Umri ukienda hata kama una biashara yako hakikisha unaweza sasa ku mudu hasira maana utakua upo single ila changamoto yoyote mwanaume akitaka kukutatulia atakutaka ki mapenzi hata kama ana sura kama nyani zee
Umri ukienda...je utamudu kufanywa mchepuko wa kudumu ili upate msaada wa watoto wako ulio zaa na yule kijana bishoo kipindi cha viwanja ukitaka kuzaa watoto wa muonekano...ili mtaani tukusifie kua una mtoto mzuri ...
Umri ukienda umejiandaaje..kusemwa umekalia umalaya tu hakuna lolote wakati wadogo zako mtaani uliokua unawaona wanakuja na kuolewa kwa ndoa wewe upo tu na skin care umekalia ku grow
Upweke utaumudu Msongo wa mawazo utakabiliana nao...
Vipi kudharaulika maana kila mgeni mtaani akija anaonyeshwa wewe ndio demu wa haraka haraka wa kukula apoze nyege zake...