Soko la mwanamke lipo kwenye umri wake

Soko la mwanamke lipo kwenye umri wake

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Ehh dada wewe!!!!

Kama saivi unaona una muda wa ku spend sana.

Piga hesabu pia kua umri ukienda utamudu kuendesha maisha kwa ku spend...

Umri ukienda Utakupa pressure ya kutaka wanaume sasa wawe wakweli kwako ...
Wakati kipindi kile walikuja wakweli kwako uliona hujamaliza ujana ukachagua kula pesa zao na kuwaumiza...

Umri ukienda hata kama una biashara yako hakikisha unaweza sasa ku mudu hasira maana utakua upo single ila changamoto yoyote mwanaume akitaka kukutatulia atakutaka ki mapenzi hata kama ana sura kama nyani zee
Umri ukienda...je utamudu kufanywa mchepuko wa kudumu ili upate msaada wa watoto wako ulio zaa na yule kijana bishoo kipindi cha viwanja ukitaka kuzaa watoto wa muonekano...ili mtaani tukusifie kua una mtoto mzuri ...

Umri ukienda umejiandaaje..kusemwa umekalia umalaya tu hakuna lolote wakati wadogo zako mtaani uliokua unawaona wanakuja na kuolewa kwa ndoa wewe upo tu na skin care umekalia ku grow
😁
😁


Upweke utaumudu Msongo wa mawazo utakabiliana nao...

Vipi kudharaulika maana kila mgeni mtaani akija anaonyeshwa wewe ndio demu wa haraka haraka wa kukula apoze nyege zake...
 
Umenena mwanamke akivuka 35 tu ni kisanga
Mkuu kwenye Jamii zingine mwanamke bado ana thamami ata akiwa na miaka 50 bado anaolewa, Kwa jamii ya Kiislam Wao wanao Mwanamke yoyote yule na hawaangalii umri wala Used au kazakishwa sana au kaolewa sana yani kule Zanzibar mwanamke ata akizalishwa watoto kumi na wanaume tofauti bado anaolewa na ana chagua, kwa Maeneo ya wanayoishi Waislamu Mwanamke ana kua na Machagaguo Mengi kuliko Mwanaume.
 
Mkuu kwenye Jamii zingine mwanamke bado ana thamami ata akiwa na miaka 50 bado anaolewa, Kwa jamii ya Kiislam Wao wanao Mwanamke yoyote yule na hawaangalii umri wala Used au kazakishwa sana au kaolewa sana yani kule Zanzibar mwanamke ata akizalishwa watoto kumi na wanaume tofauti bado anaolewa na ana chagua, kwa Maeneo ya wanayoishi Waislamu Mwanamke ana kua na Machagaguo Mengi kuliko Mwanaume.
Huyo anakuwa ni mwanamke bora. Hapa nimeongelea bora mwanamke.Wale wanaojiona wana hadhi kuliko wenzao.
 
Binafsi naona vijana wa kiume wa sasa ndio wana tabu kubwa , naona kama wadada wameshavuka huko , na vijana wa kiume ndio wana tabu kubwa sana🤔
Kila jinsia ina tabu inategemeana kijana wa kiume au wa kike yupo hatua gani. Kijana wa kike anaingia kwenye dating pool thamani yake ikiwa kubwa. Atapata attention, admiration, favouritism n.k. Privilege ambazo kijana wa kiume hawezi kuzipata maana yeye anaingia kwenye dating pool thamani yake ikiwa chini. Hana kazi, yupo broke.

Lakini baada ya muda wa miaka kama 10 hivi meza inapinduka. Maana thamani ya mwanamke ni mwili wake ambao uzuri unaoungua miaka inavyoenda na thamani ya mwanaume ni uchumi wake ambapo anapanda hatua kadiri miaka inavyosogea.

Kwenye dating pool kijana wa kiume na wa kike ambao wapo early 20's yule wa kike ana thamani kubwa. Kijana wa kiume na wa kike ambao wapo 35+ yule wa kiume ana thamani kubwa.
 
Kila jinsia ina tabu inategemeana kijana wa kiume au wa kike yupo hatua gani. Kijana wa kike anaingia kwenye dating pool thamani yake ikiwa kubwa. Atapata attention, admiration, favouritism n.k. Privilege ambazo kijana wa kiume hawezi kuzipata maana yeye anaingia kwenye dating pool thamani yake ikiwa chini. Hana kazi, yupo broke.

Lakini baada ya muda wa miaka kama 10 hivi meza inapinduka. Maana thamani ya mwanamke ni mwili wake ambao uzuri unaoungua miaka inavyoenda na thamani ya mwanaume ni uchumi wake ambapo anapanda hatua kadiri miaka inavyosogea.

Kwenye dating pool kijana wa kiume na wa kike ambao wapo early 20's yule wa kike ana thamani kubwa. Kijana wa kiume na wa kike ambao wapo 35+ yule wa kiume ana thamani kubwa.
Mimi kama baba wa mtoto wa kike nasema hao wanawake wanatumia miili yao ,baba zao ndio wapumbavu kupindukia ,unazaa mtoto haujui atakuja kuishi vipi🚮
 
Mimi kama baba wa mtoto wa kike nasema hao wanawake wanatumia miili yao ,baba zao ndio wapumbavu kupindukia ,unazaa mtoto haujui atakuja kuishi vipi🚮
Malezi yamekua changomoto mzee mwenzangu. Kuna ajenda nyingi sana za kishetani zinasambazwa kupitia mwanamke, na watu ambao wapo nyuma hizi ajenda wana nguvu kubwa sana kiuchumi na kimamlaka. Kwaiyo weka akiba ya maneno. Subiri kwanza binti yako apite salama ile interval ya miaka 15-25 ndio uongee kila kitu
 
Ehh dada wewe!!!!

Kama saivi unaona una muda wa ku spend sana.

Piga hesabu pia kua umri ukienda utamudu kuendesha maisha kwa ku spend...

Umri ukienda Utakupa pressure ya kutaka wanaume sasa wawe wakweli kwako ...
Wakati kipindi kile walikuja wakweli kwako uliona hujamaliza ujana ukachagua kula pesa zao na kuwaumiza...

Umri ukienda hata kama una biashara yako hakikisha unaweza sasa ku mudu hasira maana utakua upo single ila changamoto yoyote mwanaume akitaka kukutatulia atakutaka ki mapenzi hata kama ana sura kama nyani zee
Umri ukienda...je utamudu kufanywa mchepuko wa kudumu ili upate msaada wa watoto wako ulio zaa na yule kijana bishoo kipindi cha viwanja ukitaka kuzaa watoto wa muonekano...ili mtaani tukusifie kua una mtoto mzuri ...

Umri ukienda umejiandaaje..kusemwa umekalia umalaya tu hakuna lolote wakati wadogo zako mtaani uliokua unawaona wanakuja na kuolewa kwa ndoa wewe upo tu na skin care umekalia ku grow
😁
😁


Upweke utaumudu Msongo wa mawazo utakabiliana nao...

Vipi kudharaulika maana kila mgeni mtaani akija anaonyeshwa wewe ndio demu wa haraka haraka wa kukula apoze nyege zake...
Hifadhi hii nakala itawafaa wanao hapo baadae.
 
Kila jinsia ina tabu inategemeana kijana wa kiume au wa kike yupo hatua gani. Kijana wa kike anaingia kwenye dating pool thamani yake ikiwa kubwa. Atapata attention, admiration, favouritism n.k. Privilege ambazo kijana wa kiume hawezi kuzipata maana yeye anaingia kwenye dating pool thamani yake ikiwa chini. Hana kazi, yupo broke.

Lakini baada ya muda wa miaka kama 10 hivi meza inapinduka. Maana thamani ya mwanamke ni mwili wake ambao uzuri unaoungua miaka inavyoenda na thamani ya mwanaume ni uchumi wake ambapo anapanda hatua kadiri miaka inavyosogea.

Kwenye dating pool kijana wa kiume na wa kike ambao wapo early 20's yule wa kike ana thamani kubwa. Kijana wa kiume na wa kike ambao wapo 35+ yule wa kiume ana thamani kubwa.
Ndugu zangu wanaume tule warembo wa miaka 18 mpaka 28. Zaidi ya hapo unakula mataptap 🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu kwenye Jamii zingine mwanamke bado ana thamami ata akiwa na miaka 50 bado anaolewa, Kwa jamii ya Kiislam Wao wanao Mwanamke yoyote yule na hawaangalii umri wala Used au kazakishwa sana au kaolewa sana yani kule Zanzibar mwanamke ata akizalishwa watoto kumi na wanaume tofauti bado anaolewa na ana chagua, kwa Maeneo ya wanayoishi Waislamu Mwanamke ana kua na Machagaguo Mengi kuliko Mwanaume.
Waislam hawahawa wanaopinga zinaa au kuna version nyingine?
 
inaweza kuwa kweli na sio kweli.. kuna wanawake katika 45 years ndio 🔥🔥🔥.. Kama anarudi utotoni vile. Mwanamke ambae soko lake linakata akianza lea wajukuuu... huyo ndio yupo nje ya mfumo
 
Mimi kama baba wa mtoto wa kike nasema hao wanawake wanatumia miili yao ,baba zao ndio wapumbavu kupindukia ,unazaa mtoto haujui atakuja kuishi vipi
Ulitaka baba yake afanyeje!? Kwanini usiwalaumu wazazi wote wawili ila umemchagua baba tu!?
Mimi kama Baba nikimsomesha mwanangu mpaka hatua ya juu ya elimu nitapaswa kumtafutia ajira pia!? Sidhani kama umetafakari kabla ya kucomment.
 
Ulitaka baba yake afanyeje!? Kwanini usiwalaumu wazazi wote wawili ila umemchagua baba tu!?
Mimi kama Baba nikimsomesha mwanangu mpaka hatua ya juu ya elimu nitapaswa kumtafutia ajira pia!? Sidhani kama umetafakari kabla ya kucomment.
Sawa
 
Mwanamke ni vigezo vya kuwa mke ,anaweza kuolewa na kuanzisha maisha ya ndoa akiwa na miaka yoyote ile ...Kikubwa awe na vigezo vya kuwa mke, kwanza mwanamke mkubwa kuanzia 28 na kuendelea wanakuwa na akili za asili ,hivi vitoto utatumwa chips kila siku.
 
Back
Top Bottom