SajMpambanaji
New Member
- Nov 6, 2022
- 1
- 2
Naomba msaada kuhusiana na biashara ya dagaa. Nataka nianze kufanya nanunulia mwanza nauza huku Dar lakini sijapata soko. Nalipataje soko, wazoefu naomba mnisaidie kwa hili.?
Huko mwanza ni bei gan gunia?Naomba msaada kuhusiana na biashara ya dagaa. Nataka nianze kufanya nanunulia mwanza nauza huku Dar lakini sijapata soko. Nalipataje soko, wazoefu naomba mnisaidie kwa hili.?
Vipi mbagala soko lake ni kubwa kwa dagaa?Walete mbagala huku tupige kaz mzee baba
Soko lipo bei na kipimo chako kiwe shindani tuVipi mbagala soko lake ni kubwa kwa dagaa?
Wewe upo Dar au Mwanza?Naomba msaada kuhusiana na biashara ya dagaa. Nataka nianze kufanya nanunulia mwanza nauza huku Dar lakini sijapata soko. Nalipataje soko, wazoefu naomba mnisaidie kwa hili.?
Hakikisha unachukua dagaa wenye quality nzuri ili kujitengenezea wateja wengi na pia chukua dagaa wa nyasi.Naomba msaada kuhusiana na biashara ya dagaa. Nataka nianze kufanya nanunulia mwanza nauza huku Dar lakini sijapata soko. Nalipataje soko, wazoefu naomba mnisaidie kwa hili.?