Angalia vizuri mkuu, hiyo sio statement yangu ,ni mtu aliandika ivo nikamjibu,, angalia kwa makini zaidi kidogo.
Najua sio statement yako, ila nilitaka tu nikuonyeshe jinsi watu wa hapa Bongo tunavyofikiri na madhara yake kwa watu kama wewe haswa kama mtu anahusika katika kutoa ajira.