Bila simba imara soka la kimataifa tungelisikia kwa wenzetu tu

Ahead

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
2,205
2,431
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiliko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.

Yanga na Simba zimeanza kufanikiwa tangu zamani...

Ishu kwa timu zetu ni kukosa consistency
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Yaani ni kama mtu aliyedisco semester ya mwisho chuo, ajifunze kwa mwanafunzi aliyefail form four namna ya kufaulu chuo.

Young Africans tutatoa shule ya namna ya kubeba mataji makubwa ya CAF kwa timu zote za TZ zilizozoea kufa kiume. Mwaka jana tumekikosakosa kimoja ila mwaka huu hatutarudia makosa.
 
Yanga imezaliwa 1931 na ndiyo timu yenye makombe mengi zaidi nchini. Nani ajifunze kwa mwezake hapo?
Nenda kwenye page ya caf wenye kombe lao wamesema unaingia robo kwa mara ya kwanza,sasa jiulize toka 1931 kwanini kuingia makundi na kufika hatua uliyofika jana ilikuwa kazi,kutangulia kuzaliwa kwako hakukuwa na faida mpaka ulipofundishwa na mdogo wako.
 
Yaani ni kama mtu aliyedisco semester ya mwisho chuo, ajifunze kwa mwanafunzi aliyefail form four namna ya kufaulu chuo.

Young Africans tutatoa shule ya namna ya kubeba mataji makubwa ya CAF kwa timu zote za TZ zilizozoea kufa kiume. Mwaka jana tumekikosakosa kimoja ila mwaka huu hatutarudia makosa.
Simba haja disco Simba bado timu tishio kwenye soka la ndani nje kubali kimataifa umezidiwa points na mafanikio, usiwe na haraka jitahidi na wewe utamfikia ukijitahidi.
 
Yanga na Simba zimeanza kufanikiwa tangu zamani...

Ishu kwa timu zetu ni kukosa consistency
Kuna mmoja hapo amezinduka juzi tu,huko nyuma aliitwa wa mchangani.
 
Simba haja disco Simba bado timu tishio kwenye soka la ndani nje kubali kimataifa umezidiwa points na mafanikio, usiwe na haraka jitahidi na wewe utamfikia ukijitahidi.
Simba kimataifa ina mafanikio gani
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.
Kolo lini ulimfunga mwarabu kwake au unajiashua tu kama pumbu za mbuzi?
 
Simba haja disco Simba bado timu tishio kwenye soka la ndani nje kubali kimataifa umezidiwa points na mafanikio, usiwe na haraka jitahidi na wewe utamfikia ukijitahidi.

Wala usihofu yote hayo tutayafikia na vichaka vyote mnayojifichia tutayafyeka kabsa mafanikio siku zote hayahutaji haraka sio kama wewe ulieganda kwa kuridhika na hatua uliyofikia yanga road to final save this comment
 
Nenda kwenye page ya caf wenye kombe lao wamesema unaingia robo kwa mara ya kwanza,sasa jiulize toka 1931 kwanini kuingia makundi na kufika hatua uliyofika jana ilikuwa kazi,kutangulia kuzaliwa kwako hakukuwa na faida mpaka ulipofundishwa na mdogo wako.
Sio robo tu mpaka fainali ya CAF tumecheza! Hakuna club yenye mafanikio zaidi ya Yanga hapa Tanzania. Wewe hata medali ya CAF hauna!
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Maanina mmepoteana kabisa kila kolo anakuja na lake 😂😂😂
 
Tunaposherekea ushindi wa Yanga jana kuingia robo fainali ya club bingwa,tusiache mbachao kwa msala upitao,Simba alichonga njia kwa machozi na damu kutuonesha ya kwamba inawezekana kushindana na timu zenye misuli mikubwa kibajeti na kimfumo za kaskazini na baadhi za kusini.

Ndipo timu zingine za Tanzania zikaanza kuamka ikiwemo Yanga,Azam fc na Namungo,nimeona mijadala mingi ikiendelea na kuonesha dharau kwa miamba hiyo ya Tanzania inayoongoza mabadiriko chanya ya kisoka kila uchwao na wengine kuigiza au kuboresha,ama hakika kila mwanasoka anapaswa kusema shikamoo simba kwa maana sasa ushindani utaongezeka na hatimae kombe la Afrika litaletwa nchini.

Nb; Masikio hayawezi zidi kichwa.
Bila Manji uwekezaji kwenye Club tunge usikia kwa wenzetu.
 
Back
Top Bottom