Unajua niliposoma hii heading nilipatwa na fadhaa! Nijuavyo hawa jamaa ni walikuwa kama ndugu wa damu asa uhasimu waliuanza lini? kumbe alikuwa anamaanisha kinyume chake..................teh teh teh teh basi nami kuanzia leo wana JF ni mahasimu wangu .................teh teh teh teh teh teh teh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.