Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
Hehehehe kama uliwapa ahadi halaf ukazingua watakuja tuheheh unataka pm yako ijae leo kwa umbea, kuna wakaka wambea humu shetani mwenyewe anawaogopa
point of correction ni waongo si wambea tu
Haiwezekani miezi kadhaa unampiga mtu kalenda tu....sasa utapata vp wa kufanana naww?!