Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Humu wadad ni wambea wanajifanya ooh nyie wabaya jamani mnafukua makaburi,mara sijuii ni kumbe mnafurahi hapo mmepata cha kuongea
Mi kwa ushauri wangu jamani msiamini kila mtu anachopost humu mengine ninutani furahisha genge,,kwan hata mwanaume akiwa malaya nyie inawasaidia nini ,mahusiano sio lazima yaishie kwenye ndoa bana na msikariri,,mwacheni mahondaw kama ye anapata furaha kua na smart nyie hamuwezi mpa furaha hiyo
Mbona wanaume wengi ndio wapo hivyo sema ty wengine huqeka heshima mbele ,basi humu wadada watajifanya wanadate na malaika
Tatizo ni ilemiwish kibao ya juzi halafu inakuaje anachangia bwana na huyu ajuza K
 
Tatizo ni ilemiwish kibao ya juzi halafu inakuaje anachangia bwana na huyu ajuza K
Ndio msiingilie hayawahusu
Mbona couple nyingi tu humu zipo hivyo,kuna ile kapo nyingi demu keshakitembeza humu nadhan wanajua chupi zake zote anazovaa lakin machizi wapo kimya wanafanyiana zamuacheni watu wapeane raha
 
Ndio msiingilie hayawahusu
Mbona couple nyingi tu humu zipo hivyo,kuna ile kapo nyingi demu keshakitembeza humu nadhan wanajua chupi zake zote anazovaa lakin machizi wapo kimya wanafanyiana zamuacheni watu wapeane raha
hatariii
 
tamaa ya nini? kuna lipi la kutamani na maisha fake ya humu, taratibu kaka usiparamie mzinga wa nyuki....
Ok . Easy. Im not here to promote you.
Peace.
But me & mahondaw , smart know each other.
Im just joking to them.you kid taking it serious.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom