Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Cool.nani mgeni
mimi mhenga hakuna jipya jf, have seen it all
Cool.nani mgeni
mimi mhenga hakuna jipya jf, have seen it all
Hehehehe some kind of fake love btn Jf members .Mmuah mmuah mmuah mmuah mmmmuuuahhhh! !!
Heaven Sent are you ready for a baby brother?Ila si tunatoa product za ukweli..Njoo bana tuzalishe kichwa kingine
weHahaha
naikumbuka kwenye uzi huo huo smart kuja akaanza oohhh baby unajua mikono yangu inachofanya kwenye mwili wako when i kiss u!
mahondaw kuja na yeye, "ohhh supa dia nacheka kwa dharau prah prah prah" kile kicheko nilikuwa nakifananisha na mlio gari moja linaloitwa forokobe au mgongo wa kobe
kakaa umenichekeshaaaa...asubuhi asubuhi loooAmeni private message..Kasema yupo tayariHeaven Sent are you ready for a baby brother?
teh teh teh ila dada zetu mna mioyo ya kipekee kabisa,uzinzi kamwe hauwezi kumuacha mja salamawe![]()
![]()
kakaa umenichekeshaaaa...asubuhi asubuhi looo
Haya dhania utani sasaAcording to Gea. Maana yake hizi couple za JF wanavuana chupi kiukweli kweli?
Its not true
Naona umeulalia uzi bestwe![]()
![]()
kakaa umenichekeshaaaa...asubuhi asubuhi looo
Ndio msiingilie hayawahusu
Mbona couple nyingi tu humu zipo hivyo,kuna ile kapo nyingi demu keshakitembeza humu nadhan wanajua chupi zake zote anazovaa lakin machizi wapo kimya wanafanyiana zamuacheni watu wapeane raha
Teh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote
kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
mhenga wa jf na maevidence juuu...!!!Hivi kumbe toka zamani mnapeana papuchi kiu kweli kweliTeh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote
kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
Shemela punguza baasiiiiHivi kumbe toka zamani mnapeana papuchi kiu kweli kweli
Sawa shemelaaa.Shemela punguza baasiiii