Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Habari zenu wadau,

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha...dada Rubii naona umeiamkia mapemaa.

Mimi nasubiri neno kutoka kwa yule anayejiita Mahonda sijui Mapikipiki....hahahahha, who took my popcorns?!😳
 
Teh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote

kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
Hao tunasema ni vivulana mkuu rubi maana mwanaume anaejitambua hawezi kujisifu kwa kula k
 
Teh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote

kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
Hao tunasema ni vivulana mkuu rubi maana mwanaume anaejitambua hawezi kujisifu kwa kula k
 
hihihi hii nilipitwa, mimi nna pm toka day 1 nimeingia jf, zamani nilikuwa naentertain pm
ila siku hizi nakemea mapepo ukinizidi uwezo nakemea tu "OUTTTT, I SEND FIRE!!!!"
ukitaka uenjoy jf mambo yote yaishie hapa hapa, huko sirini pm ndio mwanzo wa kukimbia ID
kukemea huko vepe vepeee???? duh!!! Umeniacha hoiiii
 
Hahahaha...dada Rubii naona umeiamkia mapemaa.

Mimi nasubiri neno kutoka kwa yule anayejiita Mahonda sijui Mapikipiki....hahahahha, who took my popcorns?!😳
Neno gani sasa kwa mfano unasubiri? Kama kweli hawa walikuwa na mahusiano basi huyu tayari ni ex na mahondaw ndio present. Na kama ilikuwa public basi hata bibie tayari anafahamu hilo, so sioni tatizo lolote. Bora huyo ambae yake yako public kuliko wale silent killers, mnapangwa na hamjuani.
 
Aaaghaa wapi, wanaishia kunijua maserati wa jf tu, hakuna mwingine ananijua zaidi ya relato peke ake.
Hakuna hata mwenye namba yangu ya simu humu


Hutaamini pale utakaposikia Smart alimwambia bebe wake kakupitia
 
Teh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote

kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
Damn nilikuwa wapi sikuiona hiyo!!! Hao ni wavulana maana kuongezeka umri haimaanishi umekua. Huwa najiuliza ni sifa kujitangazia umetembea na fulani ilihali hata mwenyewe tu kumuona haujawahi hata kumuona!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom