Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Eeehh daaah yaaani sijui nisemejee. .........
Si kwa mahaba hayaaa, mpenz umejuaje nyimbo za hivi ndo zinanikoshaa natamani ungeniona niliyokuwa na scream na kutabasamu wakati nasoma huu ujumbe wako.....

Hakika nakupenda Smart, umenikamata vilivyo sawasawa na mahasidi wa mapenzi washindweeee.

Nakuja mpenz mie tena, naanzaje kukataa mualiko wako. I love having dinner at beach, yaani unanipatiajeee.

Wewe kwangu ndo jumatatu, jumanne, jumatano, alhamis, Ijumaa, jumamosi na jumapili yangu ni wewe. Naanzaje kukaa mbali na wewe sasa......

Nakupenda Smart nakupenda nakupenda nakuoendaaaaaa mmuuahhh!!!!
Astaghafilulah radhimu.... kumbe smart ni sigara kali humu jf

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Teh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote

kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
hihihi hii nilipitwa, mimi nna pm toka day 1 nimeingia jf, zamani nilikuwa naentertain pm
ila siku hizi nakemea mapepo ukinizidi uwezo nakemea tu "OUTTTT, I SEND FIRE!!!!"
ukitaka uenjoy jf mambo yote yaishie hapa hapa, huko sirini pm ndio mwanzo wa kukimbia ID
 
Teh! umenikumbusha jamaa mmoja hivi alikuaga maarufu enzi hizo tukatongozana tukashindwana akajaanzisha thread na mambo ya uongo 90%
Niliumiaaa !!
wadada wa jf wakawa wanapiga mayowe wakaka ndio usiseme
Nikakumbuka nilikua na file lake nilikua nimerecord simu yake zote nikaziupload ndio ikawa nafuu yangu Kaka akaumbuka na tangu hapo hakutokea tena mpaka leo sijamuona humu...
Tangu hapo nikajifunza kuweka records zote

kuna baadhi ya vijanaume humu sifa yao ni kulala na wadada akishakupa hi basi ushatomb.wa wewe dunia yote watatangaziwa
na wadada wa humu wambea, vidomo kama chuchunge ,kushadadia sasa
yani mimi ningekuwa mahondaw humu humu tungecheka wote, sijaona cha ajabu hapa hebu nifukuze mdogo angu leo nakumbushia enzi zangu lol
 
mwanaume malaya huwa hapendi showoff maana anajua unamuharibia asipige mzigo kwa wengine..... kasie alijiharibia mwenyew kwa kumfanyia showoff malaya mie napenda kumuita sigara kali so naona na huyu wa sasa anapita kulekule showoff kibao at the end...........................

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
hihihi hii nilipitwa, mimi nna pm toka day 1 nimeingia jf, zamani nilikuwa naentertain pm
ila siku hizi nakemea mapepo ukinizidi uwezo nakemea tu "OUTTTT, I SEND FIRE!!!!"
ukitaka uenjoy jf mambo yote yaishie hapa hapa, huko sirini pm ndio mwanzo wa kukimbia ID


Zamani Pm ilikua burudani lakini sasahivi hapana kabisaa
Na vile vijigroup vya umbeaumbea ndio loh sitaki hata kusikia unadhani uko na marafiki kumbe ndio wanafiki waliotukuka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom