Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
alafu natokea mbeya pia ntaachaje umbea
naona umeanza kujichekesha,stress zinapungua taratibuuu, hahahah Magu punguza baba umekaza sana unawabadilisha wanaume nao wanakuwa kama brenda sasa sijui wote tukiwa wanawake, wanaume tutawapata wapi

Maisha ni mafupi sana

tafuta bwana akufanyie ma suprisee, akujengee nyumba sio akujengee tumbo, akutunzee ubaki na uzuri wako. Mwenzako kafanyiwa bonge la party, nakushangaa wewe unakodoa tuu na macho kama kinyonga.

Nadhani huwajui wanaume maana yule aliyekubikiri kabikiri wengine kama kumi alafu kakutema kama peremende poor brenda leo unakomalia wanaume eti washenzi.

jiulize aliyekubikiri alikuacha, aliyekupa mtoto akakuacha unabong'aa ukapata mwingine kakufodoa kakuacha tena kaenda kuoa mdogo wako kabisa wewe una shupaza shingo. Alafu unajiona mzuri kumbe huko chini pame derformed alafu eti bado mzuri

Tuogope sisi wanaume ohooo! sisi ni bomu la nyuklia shauri yako we shupaa tuu kama umeingia mwezini
 
Maisha ni mafupi sana

tafuta bwana akufanyie ma suprisee, akujengee nyumba sio akujengee tumbo, akutunzee ubaki na uzuri wako. Mwenzako kafanyiwa bonge la party, nakushangaa wewe unakodoa tuu na macho kama kinyonga.

Nadhani huwajui wanaume maana yule aliyekubikiri kabikiri wengine kama kumi alafu kakutema kama peremende poor brenda leo unakomalia wanaume eti washenzi.

jiulize aliyekubikiri alikuacha, aliyekupa mtoto akakuacha unabong'aa ukapata mwingine kakufodoa kakuacha tena kaenda kuoa mdogo wako kabisa wewe una shupaza shingo. Alafu unajiona mzuri kumbe huko chini pame derformed alafu eti bado mzuri

Tuogope sisi wanaume ohooo! sisi ni bomu la nyuklia shauri yako we shupaa tuu kama umeingia mwezini


Aisee Hawa Wakuu wanajuana Kumbe tena Wanajuana sanaa .. Waombane Msamaha walipo teleza Make huku wanakoelekea kuna Mmoja atadharirika Muda si Mrefu hili Jambo siyo la Kuliacha...
 
Mfano mzuri huyu hapa 'atoto' akaja na espy.

alafu alivyokuwa na akili wale wale mabesti wake akaendelea nao. mwandiko wake bado unabaki ule ule maana akili ni moja haziwezi zikakaa mbili kichwa kimoja.

nikiwaambia ukweli utasikia nawafuatilia kama ningekuwa nawafuatia ningeshaingia PM na ningewapa na mtongozo.

Badilikeni mpaka wachambeee ndo wanabadilika

mxiuuuu zao


sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom