Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Hivi JF kuna Member wazuri Kumbe ? Sikujua Ila Leo nitakuja na Thread ya Kuelezea jinsi Mahusiano ya Humu yalivyowaongezea msongo wa Mawazo kuliko ambavyo wamewahi kutendwa huko Nje. Wengi wao ni wanawake wenye pesa zao , wenye kazi zao, wenye biashara zao, wameacha mahusiano yao ya Kweli na wengine hata Ndoa zao kwa kukimbilia Mahusiano wa Humu kwa kuangalia kupitia comment zao Mwisho wa siku wengi wao Wanaugulia na Magonjwa yasiyokuja Kupona, Sitawataja ila nitaelezea in General.

My Take. Enyi Wadada wanaume wa Humu ni Sawa na Huyo Mwanaume wako unayemuacha hapo Nyumbani na kuja kujifariji huku. Take Care your Man humu hutapata relief unayoiona kwenye art za Miandiko ya wanaume humu ndani, They are different.

Nitarudi na Thread special ya Kuwambaia Ukweli juu ya Hill , Stay Tune.

Akili Unazo aka Msema Ukweli aka Prophetic wa JF
 
smart amekuzidi nini? vidudu vya watu waenjoy wengine unaumia wewe
cc mahondaw hebu ukuje uone hawa wakaka uliwafanya nini mbona wamekomaa smart?

Hahahaha eti naumia hahahah kwi-kwi haki ya nani... leo naumiaaa duhhh classmate wangu anachezewa sana hastahili kabisa huyo smart.

tatizo lako unataka upate umbeya maana naona sura imekushuka kama umechunwa ngozi.

umbeya haujawahi kukuacha salama
 
Hahahaha eti naumia hahahah kwi-kwi haki ya nani... leo naumiaaa duhhh classmate wangu anachezewa sana hastahili kabisa huyo smart.

tatizo lako unataka upate umbeya maana naona sura imekushuka kama umechunwa ngozi.

umbeya haujawahi kukuacha salama
alafu natokea mbeya pia ntaachaje umbea
naona umeanza kujichekesha,stress zinapungua taratibuuu, hahahah Magu punguza baba umekaza sana unawabadilisha wanaume nao wanakuwa kama brenda sasa sijui wote tukiwa wanawake, wanaume tutawapata wapi
 
ugumu wa maisha mbaya sana jomoniii, yani huku mi nicheke huko wewe uteme mpaka mate
hii kiki lazima ikutoe, kimjaacho mtu ndio kimtokacho
naona umefungulia bomba la matusi leo, mimi nataka utukane mpaka kisima cha matusi kikauke

haya twende kazi, enhe baada ya hayo una tusi toleo jipya watu tufaidike kaka?

nb:uzuri huo sijui umeuona wapi ila umetabiri vizuri ni kweli mi mzuri. pasuka kabisa kwa hasira huko mie leo nipo kuenjoy free entertainment from Aleppo

Kama nilivyotabiri unajiona mzuri sana malkia wewe, mrembo wewe, first lady wewe nakuonea huruma sana ndo maana nikakuambia kasafishe mdomo wako na peroxide kabisa maana kwa colgate hautakati kama huijui nenda phamacy ukaiulizie.

kwetu sisi ni mwiko kubishana na wanawake maana ukishajiona mzuri wengine wanaona huko chini pazuri mwisho wa siku huko chini pana kansika na UTI.olewa
 
Hakuna utani huku MMU,ni mwendo wa kudukuana,Ukistuka unabadili ID uonekane mpya

Mfano mzuri huyu hapa 'atoto' akaja na espy.

alafu alivyokuwa na akili wale wale mabesti wake akaendelea nao. mwandiko wake bado unabaki ule ule maana akili ni moja haziwezi zikakaa mbili kichwa kimoja.

nikiwaambia ukweli utasikia nawafuatilia kama ningekuwa nawafuatia ningeshaingia PM na ningewapa na mtongozo.

Badilikeni mpaka wachambeee ndo wanabadilika

mxiuuuu zao
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom