Hahahaha sawa basimimi mzima mpaka najiogopa aisehhh
Saint Ivuga Maserati Shunie emmyta @ukyuti
nyie chekeni na mfurahi maana shoga/rafiki yenu Paprika naye kaburi lake lishafukuliwa. Memba mmoja alikuwa anafunguka kwamba eti paprika alikuwa anaiba soksi kwao anampelekea ex, anapika maandazi anampelekea ex n.k
huyu memba kweli kafukua kaburi la zinjathopus. Eti kweli paprika alishawahi kuiba sokso akampelekea ex?
Hawa ma ex hawajawahi kuwaacha watu salama
Eli79 Kaboom na Saint Ivuga msitutoe kwenye focus. Hapa ni sherehe ya mahondaw na smart

Kashatua bongo, sasa hivi atakuwa admitted hospital fulani hapa hapa.Cheka tuu shogaa... Lerato anaendeleaje lakini... Ubuyuu mpaka tumemsahau mgonjwa...
Khaaaa yani mange wewe usiitwe .Nishafika hapa
Akaa. Tutakuwa wengi mi sitaki.

Jamaa naona unalipizia kutukaniwa mama.Даа?
Я то думал что у них был серьозное отношения,
Ну все равно " не имей сто друзей....."
Ya tak dumayo..kak ti dumaesh?Думаешь?
Kumbe mkuu wangu unakumbukaaa? Hahaha.Jamaa naona unalipizia kutukaniwa mama.
Kama nimekukosea naomba msamaha
Hahaha, JF bhana.
Khaaaa yani mange wewe usiitwe .
hahaha.

Mojet biti..Даа?
Я то думал что у них был серьозное отношения,
Ну все равно " не имей сто друзей....."
Afu we jamaa bhana... ukija kufukua kaburi langu ntafufukia nyumbani kwako... lolHahaha, JF bhana.
Nimependa hicho kibwagizo mkuu
OoohKashatua bongo, sasa hivi atakuwa admitted hospital fulani hapa hapa.