Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Mojet biti..
A shto c vami??..Ti and Inna...Shto nye budi esti?
У на серьозное отношения с Inna она сейчас беременна.
Здесь у меня две , другая ее зовут@relato она больная сейчас.
Но знаешь что mahondaw тоже очень красивая. Она была моя в прошлом году
 
Afu we jamaa bhana... ukija kufukua kaburi langu ntafufukia nyumbani kwako... lol
Mkuu sikujua ishu ingekuwa heavy kiasi hii..

Naona uzi una trend tuu. Ulikuwa page ya 19 now 55+. Duhh
 
Duh! Sikujua kama nawe unakijua kimanyema. Hongera Mkuu.

У на серьозное отношения с Inna она сейчас беременна.
Здесь у меня две , другая ее зовут@relato она больная сейчас.
Но знаешь что mahondaw тоже очень красивая. Она была моя в прошлом году
 
Habari za jioni mabibi na mabwana wa MMU,
Kasie huyuhuyu mnayemjua na kumuona humu JF propozo imemdondokea na ameafiki kusheherekea sikukuu za Christmas na mwaka mpya akiwa na Smart911 na hii ndo muendelezo kwa kipindi chote cha mwaka 2017.

Yule jamaa wa we like to party from Wednesday to Friday ndo huyu Smart911 sasa nimekuweka wazi kwenu.

Jana tulikutana karambezi pale sea cliff na tuliondoka hapo sea cliff mchana wa leo yeye akirudi kwake nami nimerudi kwangu.

Kila mtu anajipanga kwa ajili ya safari ya kwenda kusheherekea the festive season. Tutaondoka tarehe 23 na tutakuwa na vituo vingi tuu.

Kiukweli Smart911 amenikosha roho na amenifumba macho sioni kwingine kokote wala sisikii sauti nyingine yoyote zaidi yake. Mmmh si kwa mautamu niliyopata jana acheni tuu.

Kwa nafasi hii nawatakia wana MMU wote heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya. Asiye na wake aeleke jiwe au mgomba. ..

Peace and Love.
Una kibali cha mahondow???
 
Yangu na yako tu ndio zilikuwa na uhalisia, na nina mpango wa kuja kuomba msamaha, nimekumiss
Vipi kale kasafari cha Dubai alikupelekaa Dada?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom