Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Saint Ivuga

sio kwamba nilikuwa nawafuatilia ila karibia kila nyuzi nazoingia nawaona halafu hawana jipya ata iwe siasa, hoja mchanganyiko, celebrit ni INASIKITISHA SANA, MAHONDAW WANGU USISIKILIZE YA DUNIA, MY KING NACHEKA KWA DHARAU...

Ilikuwa inanikera sana yaani sasa leo siwapumzikii nawachaana mpaka mchanike haswaaa tena siondoki ng'ooo mpaka mbadilishe tabia. Msipobadili basi tena na navyopenda umbeya aisehhhh jiandaeni kupata kiharusi
 
Jamani hadi wewe maana unapenda kupitaga ila hapa naona umebidi usimame unyooshe shingo usikizilie oohhh utakuwa shingo twiga

karibu kitu mpendwa
Looh nimesimamishwa na umbea nashushia hap
 
Hahaha

naikumbuka kwenye uzi huo huo smart kuja akaanza oohhh baby unajua mikono yangu inachofanya kwenye mwili wako when i kiss u!

mahondaw kuja na yeye, "ohhh supa dia nacheka kwa dharau prah prah prah" kile kicheko nilikuwa nakifananisha na mlio gari moja linaloitwa forokobe au mgongo wa kobe
we sio mzima
 
Saint Ivuga Maserati Shunie emmyta @ukyuti

nyie chekeni na mfurahi maana shoga/rafiki yenu Paprika naye kaburi lake lishafukuliwa. Memba mmoja alikuwa anafunguka kwamba eti paprika alikuwa anaiba soksi kwao anampelekea ex, anapika maandazi anampelekea ex n.k
huyu memba kweli kafukua kaburi la zinjathopus. Eti kweli paprika alishawahi kuiba sokso akampelekea ex?

Hawa ma ex hawajawahi kuwaacha watu salama

Eli79 Kaboom na Saint Ivuga msitutoe kwenye focus. Hapa ni sherehe ya mahondaw na smart
 
Saint Ivuga Maserati Shunie emmyta @ukyuti

nyie chekeni na mfurahi maana shoga/rafiki yenu Paprika naye kaburi lake lishafukuliwa. Memba mmoja alikuwa anafunguka kwamba eti paprika alikuwa anaiba soksi kwao anampelekea ex, anapika maandazi anampelekea ex n.k
huyu memba kweli kafukua kaburi la zinjathopus. Eti kweli paprika alishawahi kuiba sokso akampelekea ex?

Hawa ma ex hawajawahi kuwaacha watu salama

Eli79 Kaboom na Saint Ivuga msitutoe kwenye focus. Hapa ni sherehe ya mahondaw na smart
Nishafika hapa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom