Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
cc smart911 mahondaw umeachana nae uko na uyu saiz ???inakuwaje mzee mbn unao wengi sana smart911...
 
Humu wadad ni wambea wanajifanya ooh nyie wabaya jamani mnafukua makaburi,mara sijuii ni kumbe mnafurahi hapo mmepata cha kuongea
Mi kwa ushauri wangu jamani msiamini kila mtu anachopost humu mengine ninutani furahisha genge,,kwan hata mwanaume akiwa malaya nyie inawasaidia nini ,mahusiano sio lazima yaishie kwenye ndoa bana na msikariri,,mwacheni mahondaw kama ye anapata furaha kua na smart nyie hamuwezi mpa furaha hiyo
Mbona wanaume wengi ndio wapo hivyo sema ty wengine huqeka heshima mbele ,basi humu wadada watajifanya wanadate na malaika
 
Mahondaw tumelimis povu lako huku come around this chamber please
 
Saint Ivuga Maserati Shunie emmyta @ukyuti

nyie chekeni na mfurahi maana shoga/rafiki yenu Paprika naye kaburi lake lishafukuliwa. Memba mmoja alikuwa anafunguka kwamba eti paprika alikuwa anaiba soksi kwao anampelekea ex, anapika maandazi anampelekea ex n.k
huyu memba kweli kafukua kaburi la zinjathopus. Eti kweli paprika alishawahi kuiba sokso akampelekea ex?

Hawa ma ex hawajawahi kuwaacha watu salama

Eli79 Kaboom na Saint Ivuga msitutoe kwenye focus. Hapa ni sherehe ya mahondaw na smart
Mmh au mambo ya code paprika tena wapi tena huko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom