"Small House" inapokuwa Nyumba kubwa

"Small House" inapokuwa Nyumba kubwa

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,103
Reaction score
43,350
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba ndogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa..

Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.
 
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba ndogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa..

Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.
Na wewe kwa hiyo nyumba kubwa ikapigwa chini nyumba ndogo ikapanda cheo?
 
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba ndogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa..

Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.
Ni fahari kwa aliyepanda cheo na ni aibu kwa aliyeshushwa pengine kwa makosa yake mwenyewe na kujifanya kichwa ngumu wakati wenzie pia wanahitaji hiyo nafasi halo.
 
Ni fahari kwa aliyepanda cheo na ni aibu kwa aliyeshushwa pengine kwa makosa yake mwenyewe na kujifanya kichwa ngumu wakati wenzie pia wanahitaji hiyo nafasi halo.

Dah Sophy kumbuka ule msemo wa Muosha huoshwa haya!
 
Duh! hii ni hatari, itamlazimu huyo nyumba kubwaaliyopandishwa cheo awe makini, usikute jamaa ana sites kibao, anataka kushusha bangalow,nae asiwe na chake tena.
 
Dah Sophy kumbuka ule msemo wa Muosha huoshwa haya!

Ndiyo hivyo hakuna kosa lisilokuwa na matokeo. Mtu unamdharau mumeo unamuona hana maana kumbe wenzio wana shida wanamtamani unatarajia nini. Na huyo aliyekuwa na shida hivyo akimpata wa kumliwaza hamwachii ng'o, yani atamtunza kama lulu harudi tena alikokuwa kwenye madharau.
 
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba ndogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa..

Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.
There is something here I am meant to understand!
 
Ni fahari kwa aliyepanda cheo na ni aibu kwa aliyeshushwa pengine kwa makosa yake mwenyewe na kujifanya kichwa ngumu wakati wenzie pia wanahitaji hiyo nafasi halo.


dada sophy akili yako inakutosha mwenyewe.
 
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba ndogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa..

Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.
Jamani binadamu ni huru, ukiona huku hakwendi nenda unapojiSIkia. Maisha nipopote ishi kwa furaha maisha nihistoria kila mtu anayo yake. Hapa hakuna kosa hata moja maisha mema ndugu
 
Dah Sophy kumbuka ule msemo wa Muosha huoshwa haya!

unajua kuna wakati mtu hutakiwi kulazimisia mambo maishani, unayaanza tu kama yalivyo, ndio kama hapa ni kumuacha tu huyo baba aanze maisha yake upya, lakini wanaume jaamni, mie nasemaga mtu akipata mwanaume wa kumburuza na amburuze haswaaaa..
 
jamani binadamu ni huru, ukiona huku hakwendi nenda unapojikia. Maisha nipopote ishi kwa furaha maisha nihistoria kila mtu anayo yake.

jamani mbona kidude cha thhx sikioni au macho yangu, cjui leo hii kitu imekuwaje, well said NATA.
 
Haya yametokea.. yalianza kwa huduma kwa nyumba ndogo na miaka ilipopita nyumba dogo ikapanda cheo na kuanza kuwa nyumba kubwa.. Habari ndiyo hiyo.. sasa sijui kama ni fahari au aibu.

There is something here I am meant to understand!


Mimi hii kitu imekaa KISIASA zaidi labda atufafanulie,,,,lakini kwa hapa bado its kind of hanging ngoja aje MMM atuambie ana maana gani....given the current political situation....
 
jamani binadamu ni huru, ukiona huku hakwendi nenda unapojiSIkia. Maisha nipopote ishi kwa furaha maisha nihistoria kila mtu anayo yake. Hapa hakuna kosa hata moja maisha mema ndugu

Ulivyoweka hii, nimekumbuka habari za mahimbo, alikuwa nyumba kubwa na sasa Dr. ni nyumba kubwa, yeye amekuwa ndogo tena nyumba ya nyasi.
 
unajua kuna wakati mtu hutakiwi kulazimisia mambo maishani, unayaanza tu kama yalivyo, ndio kama hapa ni kumuacha tu huyo baba aanze maisha yake upya, lakini wanaume jaamni, mie nasemaga mtu akipata mwanaume wa kumburuza na amburuze haswaaaa..

...na hao hawapatikani kamwe.....wakipatikani mitarimbo yao huwa inalala dorooooo....!
 
jamani mbona kidude cha thhx sikioni au macho yangu, cjui leo hii kitu imekuwaje, well said NATA.


hahaha Mrs...kipo likizo, ukiona ivo we refresh tu kitatokea.....si naona leo msuko mwingine wa JF, sijui ndo yebo yebo ama twende kilioni? au haya mabutu?
 
hahaha Mrs...kipo likizo, ukiona ivo we refresh tu kitatokea.....si naona leo msuko mwingine wa JF, sijui ndo yebo yebo ama twende kilioni? au haya mabutu?

naona leo kuna Kwikwi mie nikajua ni kwangu tu ndio naoana maluweluwe kumbe ni kote
 
Ni fahari kwa aliyepanda cheo na ni aibu kwa aliyeshushwa pengine kwa makosa yake mwenyewe na kujifanya kichwa ngumu wakati wenzie pia wanahitaji hiyo nafasi halo.

Ndiyo hivyo hakuna kosa lisilokuwa na matokeo. Mtu unamdharau mumeo unamuona hana maana kumbe wenzio wana shida wanamtamani unatarajia nini. Na huyo aliyekuwa na shida hivyo akimpata wa kumliwaza hamwachii ng'o, yani atamtunza kama lulu harudi tena alikokuwa kwenye madharau.

dada sophy akili yako inakutosha mwenyewe.

hahahaha Da Sophy at work!:welcome:
 
Back
Top Bottom