Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015


Teh teh teh

Uwiii.

We kafiri wee hebu wacha maneno yako ya nuksi.

Nyerere gani alielitoa taifa hili utumwani??

Wapigania uhuru wa Taifa hili ni waislam hilo liko wazi.

Kanisa lilikuwa chini ya wakoloni lingeweza vipi kudai uhuru.

Huyo nyerere enz za utawala wake watu walikuwa wanavaa kaniki kwa kukosa nguo.

Hadi sukari walikuwa wanapanga foleni kununua.

Mwinyi alipokaja Mzee wa Ruksa akafungua milango ya uwazi na uchumi huria pesa ikaanza kuonekana na mahitaji kupanuka.

Acha kabisa kuongea utumbo nyerere alikuwa balaa yule.

Haya sasa tuje kwa mkapa.

Ujio wake chini ya waziri wake wa elimu joseph mungai ndiyo ukawa mwanzo wa kufa kwa elimu ya nchi hii.

Kuanzia msingi sekondari hadi chuo kikuu.

Enzi hizo hizo za mkapa na sera zake za uwekezaji tukaona watu wanauzians migodi ya nchi hii kwa bei ya kutupa kabisa na wizi na ufisadi wa meremeta buzwagi na haya ya richmond yameanzia kwa mkpa fisadi yule.

Hadi migodi kajiuzia yeye na familia yake.

Then uje utuambie kwamba nchi hio bora atawale mkristo??

Mkristo gani wa nafuu katika nchi hii??

Nyinyi si ni wezi tu??
 
Wewe guide wa Jf

swissme
 
Mzee Slaa atakuwa Rais wa UKAWA, sio Rais wa Tanzania. Tanzania ya sasa haihitaji mtu aina ya Slaa.
 

Kama una uhakika hii thread ya nini? Tunajadili nini wakati ukweli waujua? Tulia kijana acha kuwa pacha wa wenye nyota zao za kutabiri!!!!!
 
Ni kweli mkuu maana Waislamu wawili tayari, RC wawili sasa ni zamu ya dhehebu jingine, tumechoka kunyanyasika.

Huku tunakoelekea siyo kuzuri sana!Tujikite kwenye uwezo, sifa na wenye nia kutupeleka mbele kimaendeleo.
 
Kielimu Dr slaa na prof Lipumba wako juu! Ili kura yangu isipotee ni ama dr slaa au lipumba. Udini tuwaachie wapuuzi.

Nitafurahi kati ya wawili hao mmoja achomoze na mwenzie awe waziri mkuu!!

ZANZIBAR kwa kuwa na Maalim seif , UKAWA wameshapata ushindi kule, uku bara wapo hao wawili ....
Kwa jicho langu naiona Tanzania mpya ya UKAWA.
 
Nanyie ukawa mnafuata kautaratibu ka ccm kubadilishana vijiti kati ya waislam na wakristu?
 
Prof Lipumba usikubali nafasi hiyo kumuachia padre tena.

Nchi wataiharibu hii.

Mfumo kristu hauna nafas tena nchi hii.
Kila nchi hii ilipokuwa chini ya Mwislamu ilizidi kudidimia. Ona awamu ya pili ni ruksa tu, Mambo hayaendi. Ruksa akaondoka akiiacha nchi hoi kabisa. Akaja Mkatoliki akiinua nchi kiasi kwamba mfumuko wa bei aliudhibiti kabisa na fedha yetu ikawa na hadhi. Amekuja Mwislamu mwingine, lo! Nchi imebaki ni shamba la bibi, kila anayejiita mwekezaji hugawiwa kipande cha nchi na Mtanzania anabaki akipiga myayo. Eti nchi wataiharibu!!! Nchi yetu nzuri imeshaharibika kabisa. Hatumhitaji tena Rais Mwislamu. Mfumo Islamu (Al-shabaab) hatuupi nafasi tena.
 
Ni kweli mkuu maana Waislamu wawili tayari, RC wawili sasa ni zamu ya dhehebu jingine, tumechoka kunyanyasika.
Sasa naona tutafikia kufuata sera za Lebanon kugawana uongozi wa nchi kidini, tunaanza Raisi, tutaenda kwa Mawaziri, wakuu wa mikoa, Mapolisi comander NK.

Mwisho wake tutaanza vita ya wenyewe kwa wenyewe hatuoni nchi nyingi sasa wameshayasau mambo ya ukabila na Udini, sisi ndiyo kwanza tunataka kuanzisha.

Kila mtu awe na Uhuru wa kufuata dini anayotaka au kuwa mpagani kama ataamua.
 
Mwenzetu kwako dini unazielewa kwa namna ipi? Hivi kuna dini inayoitwa Ulutheri hapa duniani? Au unazungumzia madhehebu? Wakristo ni wakristo, Waislamu ni waislamu na Wahindu ni wahindu nk. Madhehebu yanawatofautisha ktk baadhi ya masuala madogo ambayo hayavunji msingi wa kuwa wao wanaamini ktk Mungu kwa kupitia Kristo au Budha au Muhammad SAW. Japo binafsi sidhani ama kumpata Rais kw kigezo cha dini au dhehebu lake kama kina nafasi kubwa sana kwa Tanzania yetu tunayoitamani.

Kama kuna utaratibu wa kubadilisha Rais kwa dini zao basi safari hii awekwe Mlutheri....kwa vile ukawa tunawaombea wachukuwe nchi..hebu tuambie ni Mlutheri gani yuko ukawa anaefaa
 

Na atakuwa Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 

Akihubiri siku ya Pasaka katika Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship lililopo Mwenge, katika Jiji la Dar-Es-Salaam, Askofu Mkuu Zachary Kakobe alisema kwamba, inajulikana wazi kwamba Lowassa amekuwa anautaka Urais kwa udi na uvumba kwa miaka mingi, hata mwaka 1995 alijitosa hadharani kuuwania lakini Nyerere akasema Lowasa ni Mwizi, sasa anapodai kwamba hivi sasa kuna makundi yanayokwenda kwake kumshawishi agombee Urais, kana kwamba yeye hataki Urais, anakuwa anamdanganya nani?
 

Kama nchi hii tuh ilipoongozwa na muislam Kanisa katoliki na maaskofu wake kina kilaini kupitia mkombozi bank mmeliibia taifa.

Akichukua nchi hii mkristo tena mkatoliki si mutaifilisi kama alivyofanya mkapa??


Hamna maana nyinyi.
 
Wewe jiandae kurudi kwenu burundi huyo ndo raisi mtarajiwa tumeshachoka kuongozwa na waislamu najua una hasira za kukosa mahakama ya kadhi pole sana bado waislamu mna imani na ccm

Habari ndiyo.

Slaa akaanzishe kanisa na rafiki yake gwajima.

Nchi hii haiwezi kuongozwa na padre hata siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…