Mkuu wanaagalia dini sio dhehebu
Kama umeona kigezo cha dini muhimu basi tusiishie kwenye dini, twende mbele zaidi.
Katika maraisi wakristo wote walikuwa wakatoliki.
1. Nyerere alikuwa Mkatoliki
2. Mkapa alikuwa Mkatoliki
Ukristo sio ukatoliki tu, sasa twende kwa Mkristo wa dhehebu lingine...
Kwa kigezo chako basi Lowassa anafaa kwa sababu:
1. Mkristo
2. Wa kanda ambayo haijatoa rais, Kaskazini
3. Wa Dhehebu ambalo halijatoa rais, Lutherani.
Ukiishaanza kuweka ubaguzi usiishie juu, malizia kabisa mpaka chini.
tatizo la slaa ni uzinziPadre slaa hawez kuwa kiongozi ukawa wala hawezi kuwa Rais wa nchi hii.
Hata aombewe vipi na msela mwenzake gwajima hilo halitakuja litokee.
Habari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.
1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.
Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
Prof Lipumba usikubali nafasi hiyo kumuachia padre tena.
Nchi wataiharibu hii.
Mfumo kristu hauna nafas tena nchi hii.
kwa ccm naunga mkono kuwa Lowasa anafaa kugombea kupitia hicho chama chake dhaifu japo nimeskia wameshampata mrithi wa kikwete ambaye ni mkristo pia anatokea zanzibar mana zamu yao visiwani kupewa nchi. Huku ukawa kati ya Dr. Slaa na Prof. Lipumba, ndiyo mana nikasema kuwa Slaa ana nafasi kubwa kuliko Lipumba,
Prof Lipumba usikubali nafasi hiyo kumuachia padre tena.
Nchi wataiharibu hii.
Mfumo kristu hauna nafas tena nchi hii.
mimi natamani mahakama ya kadhi ikubaliwe mana waislamu wengi watakimbilia kwenye ukristo pale ambapo akipewa adhabu ya kukatwa mkono au kuuawa ataomba abadili dini ili asihukumie kwenye hizo mahakani zisizo na chembe ya huruma. Baada ya miaka 20 robo 3 ya nchi watakuwa wakristo
Chadema wataathirika ukawa ikifa lakini CUF waathirika zaidi kuliko Chadema.
Ndani ya UKAWA Cuf wangepata wabunge Tanzania bara, majimbo matatu Dar es Salaam yangeweza kabisa kwenda CUF mwaka huu, Kigamboni, Segerea na Temeke.
Najua NCCR haiwezi kukubali kuvinja umoja maana nje ya umoja huu, Mwenyekiti Mbatia kiti chake cha ubunge wa vunjo kitatikisika.
Sioni faida watakayoipata CUF kutoka nje ya Ukawa.Ni vyema Lipumba atafute jimbo moja Dar angeingia bungeni akajipange vizuri kwa urais miaka ijayo.Mwaka huu hana chance.
Japi mshindi zaidi atakuwa ACT, Ukawa ikifa ACT itakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kukua.
tatizo la slaa ni uzinzi