Umebanwa m.avi k.anye uwe huruuungwana vitendo said:nyerere aliongoza akataka kupinduliwa,akang'atuka
Kuwa karibu na Gwajima kumemuharibia sana SlaaHabari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.
1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.
Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
Habari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.
1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.
Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
Dr. slaa ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015-2020 iwe isiwe...
Ndivyo anavyowadanganya Gwajima huko kanisani??
Teh teh teh
Kumbe ndiyo maana Dr Slaa anashinda kwa yule muhuni mwenzake gwajima anadhani anaweza pewa muujiza wa kuwa Rais wa nchi hii??
Teh teh teh.
Mmefeli kanisani kuongoza kondoo wa bwana mtaweza kuongoza nchi??
Nyerere alishindwa.
Mkapa ufisadi hadi anajiuzia migodi kwa bei ya kutupwa.
Kwenye escrow ndiyo usisemee hadi kanisa limechota pesa za walalahoi.
Hatari sana
Chadema chama cha kikabila cha mtei kinaweza vipi shindana na cuf??
Huko kilikopata wabunge kama sio uchaga basi kimetumia ukristo.
Cuf chama kubwa wewe kafiri.
Hadi kimeunda serikali ya mseto.
Nyinyi wachaga mna kitu gani??
Ukawa bila cuf hakuna kitu.
Prof Lipumba usikubali nafasi hiyo kumuachia padre tena.
Nchi wataiharibu hii.
Mfumo kristu hauna nafas tena nchi hii.
Tunamuhitaji sana Lipumba lakini asiwe rais ila tutampatia uwaziri mkuu au waziri wa fedhaNahisi Lipumba atawafaa zaidi UKAWA kuliko Dr Slaa... Sababu za msingi ni kuwa Prof amedhihirisha kuwa anaweza kuibadili nchi hii kiuchumi kwa muda mfupi zaidi ... Itaondoa mgawanyiko wa kidini miongoni mwa wapiga kura ...
Utakua upo sayari ya mars unaota
Habari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.
1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.
Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
Chadema chama cha kikabila cha mtei kinaweza vipi shindana na cuf??
Huko kilikopata wabunge kama sio uchaga basi kimetumia ukristo.
Cuf chama kubwa wewe kafiri.
Hadi kimeunda serikali ya mseto.
Nyinyi wachaga mna kitu gani??
Ukawa bila cuf hakuna kitu.
Ni kweli mkuu maana Waislamu wawili tayari, RC wawili sasa ni zamu ya dhehebu jingine, tumechoka kunyanyasika.
tatizo la slaa ni uzinzi
Chadema chama cha kikabila cha mtei kinaweza vipi shindana na cuf??
Huko kilikopata wabunge kama sio uchaga basi kimetumia ukristo.
Cuf chama kubwa wewe kafiri.
Hadi kimeunda serikali ya mseto.
Nyinyi wachaga mna kitu gani??
Ukawa bila cuf hakuna kitu.