Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Jaman hii nchi haina dini..kama muislam yupo anayefaa tutampa tena nafasi...tunahitaj maendelea sio kupangan zamu kwa dini zetu....if kuna muislam yupo na anafaa lazima apewe..tueshimu katiba
 
Habari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.

1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.

Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
Kuwa karibu na Gwajima kumemuharibia sana Slaa
 
Nahisi Lipumba atawafaa zaidi UKAWA kuliko Dr Slaa... Sababu za msingi ni kuwa Prof amedhihirisha kuwa anaweza kuibadili nchi hii kiuchumi kwa muda mfupi zaidi ... Itaondoa mgawanyiko wa kidini miongoni mwa wapiga kura ...
Habari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.

1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.

Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
 
Tunakwenda Kuchukua Nchi Mwezi Wa Kumi Kiulaiini, Hiyo Ni Baada Ya Uvumilivu Wa Mda Mrefu.
 
Ndivyo anavyowadanganya Gwajima huko kanisani??

Teh teh teh

Kumbe ndiyo maana Dr Slaa anashinda kwa yule muhuni mwenzake gwajima anadhani anaweza pewa muujiza wa kuwa Rais wa nchi hii??

Teh teh teh.

Mmefeli kanisani kuongoza kondoo wa bwana mtaweza kuongoza nchi??

Nyerere alishindwa.

Mkapa ufisadi hadi anajiuzia migodi kwa bei ya kutupwa.

Kwenye escrow ndiyo usisemee hadi kanisa limechota pesa za walalahoi.

Hatari sana

Haya maneno mengine haya, ukiwa umekaa umetulia huwezi andika, unataka kusema kafiri cuf hatakiwi.
 
Chadema chama cha kikabila cha mtei kinaweza vipi shindana na cuf??

Huko kilikopata wabunge kama sio uchaga basi kimetumia ukristo.

Cuf chama kubwa wewe kafiri.

Hadi kimeunda serikali ya mseto.

Nyinyi wachaga mna kitu gani??

Ukawa bila cuf hakuna kitu.


CUF chama kubwa?. Labda mie siishi Tanzania. CDM ilikopata ilitumia uchaga na ukristo?. CUF ilikuwa wapi kutumia unyamwezi na uislamu??.

Usichokoze ugomvi wa mawe wakati unaishi kwenye nyumba ya vioo.
 
Nahisi Lipumba atawafaa zaidi UKAWA kuliko Dr Slaa... Sababu za msingi ni kuwa Prof amedhihirisha kuwa anaweza kuibadili nchi hii kiuchumi kwa muda mfupi zaidi ... Itaondoa mgawanyiko wa kidini miongoni mwa wapiga kura ...
Tunamuhitaji sana Lipumba lakini asiwe rais ila tutampatia uwaziri mkuu au waziri wa fedha
 
Kipindi hiki tunataka kuongozwa na Mchaga. So ni either Mbowe au Mbatia. Hao wengine wanazingua tu. Huoni Kanda ya Kaskazini iliyokaliwa na mchaga inavyong'ara kimaendeleo??. Take reference ya Mikoa yenye maendeleo kutoka kwenye research report ya juzi.
 
Ninakuomba sana sana uwe mwangalifu na statements zinazoweza kuchukuliwa vibaya zikaonekena ni sera za nchi na kutusumbua mbele ya safari. Kumbuka hapa, kama ilivyotanzania kuna matabaka mengi sana ya watu. Wapo wanaoweza kuelewa makosa na udhaifu wa msemaji, lakini wapo ambao hawajui kuchambua wao kila kitu wakikisikai kinasemwa hata kama kinavunja katiba na kisheria hakiwezekani, wanashika bango kwamba uliwaambia!. Gharama ya kuwarudisha kwenye msingi, ni kubwa kuliko watu kuzuia ndimi zao.

Tanzania haina utaratibu wa kuchagua viongozi kwa mtindo wa kubadilishana dini.

Hatumchagui mtu kwa dini yake kwa sababu hatutegemei kupata miongozo inayohhusiana na dini za watu. Tunauhuru wa kuchagua dini moja mfululizo ili mradi tunapata kiongozi sahihi anayehitajika na mwenye maono na uwezo wa kukidhi haja za watanzania.

Ingelikuwa ni dini basi hata Wabung wangebadilishana, madiwani, wenyeviti wa mitaa n.k. Kama iingelikuwa ni kanuni ya nchi, mbona zanzibar hawajawahi kuwa na kiongozi wa dini nyingine zaidi ya Waislam?

Tanganyika vile vile haijawahi kuwa na raisi wa dini zingine zaidi ya Wakristo na Waislam? Nani alikuambia kuna kupokezana kidini? Acha kabisa hizo itikadi. Kama ilitokea ilitokea coincidentally tu lakini haipo na hatuwezi kuiweka kuwa ni utaratibu unless tunataka matatiz.

Vinginevyo, ukiondoa hilo la mambo ya dini, naunga mkono hoja.


Habari wanajf, haya ni mawazo na fikra zangu tu. Binafsi naona Dr. Slaa nafaa kabisa kuwa mgombea wa urais mwaka huu kupitia Ukawa tofauti na Prof. Lipumba. Nina sababu zifuatazo.

1. Dr. Slaa anamvuto na kupendwa na wengi katika mambo ya siasa
2. Nchi yetu haina upendeleo katika mambo ya dini, hivyo sasa ni zamu ya rais mkristo kuongoza nchi kama ambavyo nchi yetu imejiwekea utaratibu huu.
3. Watu waliosoma sana na wenye elimu ya juu kabisa mara nyingi hawafai kupewa nafasi nyeti kama hii, hawa ni watendaji wazuri wanatakiwa watumie muda mwingi kufanya research na kuandaa policy mbalimbali kwa ajili ya manufaa ya nchi. Elimu kama ya Dr. Slaa ndiyo inafaa zaidi hivyo Lipumba angalau apewe uwaziri mkuu sio mbaya sana.

Hayo ni maoni yangu kama unacho cha kuongezea karibu
 
Chadema chama cha kikabila cha mtei kinaweza vipi shindana na cuf??

Huko kilikopata wabunge kama sio uchaga basi kimetumia ukristo.

Cuf chama kubwa wewe kafiri.

Hadi kimeunda serikali ya mseto.

Nyinyi wachaga mna kitu gani??

Ukawa bila cuf hakuna kitu.

Pdidy yule guide huyu hapa.

swissme
 
Ni kweli mkuu maana Waislamu wawili tayari, RC wawili sasa ni zamu ya dhehebu jingine, tumechoka kunyanyasika.

Hao waislam walikuwa wa madhehebu tofauti?? Watanzani ubaguzi wa nini? Tunachagua rais au imamu/mchungaji?
 
tatizo la slaa ni uzinzi

Nani asiye mzinzi tumpigie kura? Maana ukiwa unaishi nyumba ya kioo usirushe mawe. Miye namkubali Slaa kwa uadilifu ambaye aliona aweke upadri pembeni aoe, kwani kuna mapadri wangapi wamezalisha wanawake mitaani na hawajaukana upadri wao?? Si bora Slaa aliye mkweli?
 
Chadema chama cha kikabila cha mtei kinaweza vipi shindana na cuf??

Huko kilikopata wabunge kama sio uchaga basi kimetumia ukristo.

Cuf chama kubwa wewe kafiri.

Hadi kimeunda serikali ya mseto.

Nyinyi wachaga mna kitu gani??

Ukawa bila cuf hakuna kitu.

Ukawa bila CUF ukawa itaathirika lakin CUF bila Ukawa nayo CUF kwa bara ndio itazikwa kabisa.

Kumbuka, kuna maeneo ya CUF, maneneo ya watu wanaofikiri kama wewe, ambayo Chadema ilikuwa haiwezi kupenya lakini ACT itapenya.Hakuna mtu tena anategemea CUF itarudi kuwa na nguvu bara kama ilivyokuwa 2000 mpaka 2005.

Ni muhimu kwa Profesa Lipumba kusoma alama za nyakati, hana options nyingi wakati huu bali ni kwenda na ukawa waongeze wabunge bar.Mengine watajipanga baada ya uchaguzi.
 
Back
Top Bottom