Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
Huu ni mpango wa mungu lazima utimie kwa dk.slaa kukabidhiwa ikulu ifikapo october 2015.
-hakuna cha mqkongoro wa sumaye wala sijui lowassa wote si kitu mbele ya dr.slaa.
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
Sina lengo la kupinga but kuna kitu hakizungumzwi wala kutazamwa sana
idadi ya kura alizopata DR Slaa......mwaka 2010....
watu wanasahau kuna watanzania wengi zaidi hawakupiga kura kabisa..
why hawakupiga kura na walijiandikisha....hilo swali lina maana kuubwa
walijiandikisha milioni 22 waliopiga kura hawakufika hata milioni 12
waliompigia DR Slaa hawakufka milion 6...
kuna kitu hapo kikubwa
mm cmwanasiasa
Ingawa sasa CCM ndiyo habari ya mjini, Dr. Wilbrod Peter Slaa asisahaulike. Ingawa mchakato wa kutangaza nia ndani ya CCM umeteka kilamedia hapa nchini, Dr. Slaa ni mwiba mkali kwa CCM yetu kama akiridhiwa na UKAWA kupeperusha bendera yao hapo Oktoba.
Kwa mwitikio anaoupata kwenye mikutano ya UKAWA huko apitapo na ninayoyaona humu nitembeapo,Dr. Slaa ni silaha tegemezi ya UKAWA.
CCM iwe pamoja au iwe vipandevipande baada ya mchakato wa ndani wa kumpata mgombea wetu, Dr. Slaa hatatetereka wala kuimarika.Atabaki kama alivyo: imara as ever. Iko wazi kuwa Dr. Slaa ana mtaji kuanzia safari yake ya Oktoba endapo UKAWA wakimpitisha.
Anaweza kubezwa na kukejeliwa lakini yeye ni mwanasiasa wa kufanyiwa maandalizi ya kutosha. Mgombea yeyote wa CCM na wengineo angetamani kikombe cha Dr. Slaa kimuepuke.
Yupo kwenye kumbukumbu ya watanzania kama mwanasiasa aliyethubutu kupambana na mafisadi,kwa vitendo, kwakuanika a List of Shame pale Mwembeyanga-Temeke, orodha ya mafisadi inayojidhihirisha kila kukicha.
Niseme tu, Dr. Slaa is one of the most complete politicians from the opposition. He is, normally, slow but sure! Hata asipokuwa mgombea wa UKAWA, atakuwa kiungo muhimu kwenye timu ya UKAWA.
Nitasema ukweli daima, fitina kwangu ni mwiko!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (safarini kwenda Tabora)
Padri huyuhuyu kweli,arudishe kwanza mke wa mtu atubu dhambi na arudi kwenye komunio ndo agombee urais
Hizi pilika pilika za uwingi wa Watu kutaka kujiandikisha katika Daftari la mpiga Kura kwa mtazamo wangu sio kwa ajiri ya kupiga Kura bali ni kutafuta Vitambulisho baada ya hapo hali itatulia kama hakuna kilichotokea, CCM ipo imefundishwa Mashuleni na Vyuoni kwa hiyo ipo Masikioni na Midomoni mwa Watu wengi kwa hiyo inafahamika na wengi UKAWA ni kitu kigeni miongoni mwa Watu vivyo hivyo Dr. Slaa, bado haijafanyika juhudi ya kutosha kumnadi na kuwaaminisha Watanzania kwamba anafaa kuliongoza Taifa hili.
Nasema hivi kwa sababu mbali ya Fitina za kisiasa walizonazo CCM sijaona Weledi hasa toka UKAWA juu ya kupambana na CCM, ninachokiona ni Misuguano ya chini chini katika yao juu ya Maslahi. Lakini pia Demokrasia ya namna ya kumpata Mgombea toka UKAWA haijawekwa wazi bado Watu wawili tu Lipumba na Slaa ndiyo wanatajwa kama vile hakuna watu wengine hili ni tatizo, wakati fulani Lissu aliwahi kuzungumza kwamba nae anautaka Urais inaelekea katishwa asiseme tena yupo kimya na hakuna mjadala kumuhusu tena.
Siasa ina mambo mengi kuna makundi ya wapiga Kura bado sijaona Jitihada za UKAWA za kufikia hayo makundi hata tukisema kwamba nchi yetu haina UDINI lakini DINI zipo na Makabila yapo Mikoa ipo na Kanda zipo, tumeona kilichotokea Mbeya wakati Mwandosya akitangaza NIA Vyama vyote vilimuunga mkono kwa hiyo Mchakato bado ni Mgumu ni suala la kusubiri lakini ukweli bado CCM wana nafasi kama watachanga vizuri karata zao
Umesahau pia kura zilipigwa kwa mlengo wa dini mapadre walihamasisha wapige mkristu mwenzao , sasa zamu hii ni ya wakristu sijui itakuwaje hapo