kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 117
Isikuumize kwasasa Chadema hata likiwekwa jiwe 2015 nchi ni yao
Ccm itaendelea kuongoza nchi hii zaidi ya miaka 100 ijayo labda kije chama kipya cha upinzani wa kweli sio hiki cha kigaidi
Isikuumize kwasasa Chadema hata likiwekwa jiwe 2015 nchi ni yao
Nilianza na mada, kama katiba inatamka hivi kuhusu mgombea na mgombea mwenza, na wewe ukatamka vinginevyo, ndipo nilipoanza kujiuliza, sasa kuja kukuta jina nalo, ndipo nikauliza kwanza kuhusu jina ndipo nichangie.
Kwa vile nimeuliza swali nikitaraji jibu, badala ya kujibiwa, nimeulizwa!, "ninaonaje?.
Nashukuru sasa nimeelewa kumbe sio jina tuu!.
Tuendelee na mada.
Kwaheri.
Pasco.
Nyie MaCDM si mnataka kujitoa kwenye katiba mpya sasa mnasema nini ati? Mbona hamueleweki kila kukicha na kitu kipya duu hiki cha hiki chama balaa tupu. Ati katiba mpya itaweka uhuru wa mgombea mwenza aweza kutokea bara au znz nanyi mnasema hamtaki kushiriki nani ataitetea hoja yenu? Tuambieni mnajitoa lini sie tunaendelea na mchakato wetu wa kitaifa. Kuweni na msimamo wa kuchama na sio kila mtu akilala asb akiamka anakuja na hili mwingine anakanusha daa hiki chama kama briefcase NGO!!
Nilianza na mada, kama katiba inatamka hivi kuhusu mgombea na mgombea mwenza, na wewe ukatamka vinginevyo, ndipo nilipoanza kujiuliza, sasa kuja kukuta jina nalo, ndipo nikauliza kwanza kuhusu jina ndipo nichangie.
Kwa vile nimeuliza swali nikitaraji jibu, badala ya kujibiwa, nimeulizwa!, "ninaonaje?.
Nashukuru sasa nimeelewa kumbe sio jina tuu!.
Tuendelee na mada.
Kwaheri.
Pasco.
watu tunatofautiana kuelewa!hivi umeisoma post aliyoweka mleta thread?Timu hii ina uwezo wa kuvuta vijana hasa ukizingatia wote Slaa na Zi tto ni maswahiba wakubwa wa vijana
WEWE HEBU ACHA KUWARUBUNI WANANCHI SLAA NA ZITO NI MARAFIKI TANGU LINI WAKATI TULISHASIKIA KWENYE VYOMBO MBALI MBALI VYA HABAR KUHUSU NJAMA ZA KIBABU SLAA KUTAKA KUMDHURU ZITTO KWA SUMU NAKUMBUKA NI KAMA MWEZI MMOJA NA NUSU ULIOPITA TAARIFA HIZI ZILIZAGAA SASA WEWE MBONA UNAWADANGANYA WATU?
HAWANA URAFIKI NA KWA KAULI YA MWENYEKITI WENU YA KUMTANGAZA BABU BILA KUFUATA MCHAKATO WA KUPITIA KWENYE KAMATI UTAWAGHARIMU
WACHAGA BWANA LOOOOOH
hapo kwenye red, hatutakiwi kuchagua mtu ktk misingi ya dini!Kama kweli CHADEMA iko serious kutaka kuingia ikulu ni lazima ikapanga wagombea wake kama nilivyopendekeza yaani mgombea urais awe ni Dr slaa na mgombea mwenza awe ni Zitto. Mchanganyiko wa timu hii kwa order ya Slaa-Zitto ni mchanganyiko wenye uwezo wa kuzoa kura nyingi.
- Timu hii ina uwezo wa kuvuta vijana hasa ukizingatia wote Slaa na Zitto ni maswahiba wakubwa wa vijana.
- Timu hii yaweza kuvuta wazee kwa kutumia uzee na busara za Dr Slaa na busara za zitto.
- Timu hii yaweza kuvuta wakristu kwa waislamu
- Timu hii yaweza kuvuta watu wa mikoa mbalimbali hasa ile ya kanda za magharibi ambapo M4C imesuasua.hapa kwa wale wa kaskazini(especially wachaga) wasilete wivu na minongo'ono bali wajue hii ni timu ya kuwapa kiti cha urais kama wanataka mamlaka watayapata kupitia uwaziri n.k lakini for the sake ya ushindi ni muhimu kuisupport timu hii.
- kwa upande wa wanawake inaweza kuwa tatizo lakini hii sio shida kwani wanawake wengi wa 2015 wataangukia kwenye kundi la vijana
CHADEMA kama mnanisikia zingatieni hili hamtajuta. Malizeni tofauti za watu hawa kama zipo na muanze maandalizi ya kuwauza kwa wananchi kama timu!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kama kweli CHADEMA iko serious kutaka kuingia ikulu ni lazima ikapanga wagombea wake kama nilivyopendekeza yaani mgombea urais awe ni Dr slaa na mgombea mwenza awe ni Zitto. Mchanganyiko wa timu hii kwa order ya Slaa-Zitto ni mchanganyiko wenye uwezo wa kuzoa kura nyingi.
- Timu hii ina uwezo wa kuvuta vijana hasa ukizingatia wote Slaa na Zitto ni maswahiba wakubwa wa vijana.
- Timu hii yaweza kuvuta wazee kwa kutumia uzee na busara za Dr Slaa na busara za zitto.
- Timu hii yaweza kuvuta wakristu kwa waislamu
- Timu hii yaweza kuvuta watu wa mikoa mbalimbali hasa ile ya kanda za magharibi ambapo M4C imesuasua.hapa kwa wale wa kaskazini(especially wachaga) wasilete wivu na minongo'ono bali wajue hii ni timu ya kuwapa kiti cha urais kama wanataka mamlaka watayapata kupitia uwaziri n.k lakini for the sake ya ushindi ni muhimu kuisupport timu hii.
- kwa upande wa wanawake inaweza kuwa tatizo lakini hii sio shida kwani wanawake wengi wa 2015 wataangukia kwenye kundi la vijana
CHADEMA kama mnanisikia zingatieni hili hamtajuta. Malizeni tofauti za watu hawa kama zipo na muanze maandalizi ya kuwauza kwa wananchi kama timu!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu mkubwa sana matamshi ya hawa viongozi wangu wa CHADEMA, nimeona ufa mkubwa. Dr slaa anajiona kuwa tayari ni mgombea wa uraisi kwa tiketi ya CHADEMA huku zitto kabwe naye akijiona ndiye mgombea anayefaa kwa kiti cha urais, najiuliza hawa jamaa nani kawapa hiyo nguvu wakati vikao vya chama hata mchakato bado. Katika mikutano mingi utaona Dr. slaa akitambulishwa kama rais mtarajiwa huku zitto kwa upande wake akitumia mitandao mbalimbali ya kijamii akiweka bayana kuwa anafaa kuwa rais, HII SIO SAHIHI, kwa nini tusiweke moyoni yale ambayo ni matatizo ya ndani ya chama na kuyamaliza kimya kimya/ kwa mpango huu hatuwezi kuchukua nchi 2015. kuna mtangazaji wa radio anaitwa LOVENESS mara kwa mara anamtaja zito kuwa ndiye rais wake ajaye, amejuaje? je anaujua mchakato wa kuwa rais? nani kamwambia aseme kwenye vyombo vya habari? je ni zitto mwenyewe? mke wa Dr. slaa akiwa Mbeya anasema mume wake akiwa rais atamshauri vizuri, nani kamwambia Dr. slaa atagombea 2015, CHADEMA kina watu wengi, kuna Lissu, Mbowe, na wengine wengi vipi Dr. slaa anajiwekea asilimia kubwa namna hiyo kugombea?? je akikosa nafasi hiyo bado atabaki CHADEMA?? kwa hilo tunakosea sana na ninaona tunapoelekea ni sawa na swala wawili wanaopigania majani mbele ya simba(adui). Hebu CHADEMA tutulie tujenge hoja nzito thidi ya CCM tuwe watu wakutoa elimu zaidi kuliko kujipigia kampeni, muda ukifika atakaye chaguliwa tumuunge mkono sote kwa pamoja. TUTAFANIKIWA.
, Hauna akili huu si muda wa kuzungumzia udiniZitto kinachomponza ni DINNI YAKE