Slaa na Zitto ni turufu ya CHADEMA 2015

Slaa na Zitto ni turufu ya CHADEMA 2015

Zitto hawezi kufanya kazi na huyo mtu mafia.
 
Kama kweli CHADEMA iko serious kutaka kuingia ikulu ni lazima ikapanga wagombea wake kama nilivyopendekeza yaani mgombea urais awe ni Dr slaa na mgombea mwenza awe ni Zitto. Mchanganyiko wa timu hii kwa order ya Slaa-Zitto ni mchanganyiko wenye uwezo wa kuzoa kura nyingi.

  • Timu hii ina uwezo wa kuvuta vijana hasa ukizingatia wote Slaa na Zitto ni maswahiba wakubwa wa vijana.
  • Timu hii yaweza kuvuta wazee kwa kutumia uzee na busara za Dr Slaa na busara za zitto.
  • Timu hii yaweza kuvuta wakristu kwa waislamu
  • Timu hii yaweza kuvuta watu wa mikoa mbalimbali hasa ile ya kanda za magharibi ambapo M4C imesuasua.hapa kwa wale wa kaskazini(especially wachaga) wasilete wivu na minongo'ono bali wajue hii ni timu ya kuwapa kiti cha urais kama wanataka mamlaka watayapata kupitia uwaziri n.k lakini for the sake ya ushindi ni muhimu kuisupport timu hii.
  • kwa upande wa wanawake inaweza kuwa tatizo lakini hii sio shida kwani wanawake wengi wa 2015 wataangukia kwenye kundi la vijana

CHADEMA kama mnanisikia zingatieni hili hamtajuta. Malizeni tofauti za watu hawa kama zipo na muanze maandalizi ya kuwauza kwa wananchi kama timu!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Wewe umetumwa si akili yako maana ungejua kuwa kwenye urais lzima mmoja atoke upande wa pili wa muungano, halafu utalinganishaje kichuguu na mlima?
 
Kama kweli CHADEMA iko serious kutaka kuingia ikulu ni lazima ikapanga wagombea wake kama nilivyopendekeza yaani mgombea urais awe ni Dr slaa na mgombea mwenza awe ni Zitto. Mchanganyiko wa timu hii kwa order ya Slaa-Zitto ni mchanganyiko wenye uwezo wa kuzoa kura nyingi.

  • Timu hii ina uwezo wa kuvuta vijana hasa ukizingatia wote Slaa na Zitto ni maswahiba wakubwa wa vijana.
  • Timu hii yaweza kuvuta wazee kwa kutumia uzee na busara za Dr Slaa na busara za zitto.
  • Timu hii yaweza kuvuta wakristu kwa waislamu
  • Timu hii yaweza kuvuta watu wa mikoa mbalimbali hasa ile ya kanda za magharibi ambapo M4C imesuasua.hapa kwa wale wa kaskazini(especially wachaga) wasilete wivu na minongo'ono bali wajue hii ni timu ya kuwapa kiti cha urais kama wanataka mamlaka watayapata kupitia uwaziri n.k lakini for the sake ya ushindi ni muhimu kuisupport timu hii.
  • kwa upande wa wanawake inaweza kuwa tatizo lakini hii sio shida kwani wanawake wengi wa 2015 wataangukia kwenye kundi la vijana

CHADEMA kama mnanisikia zingatieni hili hamtajuta. Malizeni tofauti za watu hawa kama zipo na muanze maandalizi ya kuwauza kwa wananchi kama timu!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Isikuumize kwasasa Chadema hata likiwekwa jiwe 2015 nchi ni yao
 
Sasa kati ya Zitto na Slaa nani mtamfanya Mzenji maana lazima mmoja atoke Mchamba wima, mfereji maringo au Kibanda Maiti kwa mujibu wa katiba

Timu hiyo ingeweza leta matunda na Ikulu tungeingia asubuhi mapemaa. Ishu ni Katiba inayo taka mmojawapo atoke Dole au Uzini!
 
Wewe umetumwa si akili yako maana ungejua kuwa kwenye urais lzima mmoja atoke upande wa pili wa muungano, halafu utalinganishaje kichuguu na mlima?

usimshambulie mleta mada shambulia mada yenyewe.Hatujui mchakato wa katiba utatuletea nini.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Timu hiyo ingeweza leta matunda na Ikulu tungeingia asubuhi mapemaa. Ishu ni Katiba inayo taka mmojawapo atoke Dole au Uzini!

chadema wangeweka maoni yao kwenye katiba juu ya hili kwani Zanzibar sio ngome yao na pia ni kura za zanzibar haziamui rais wa Tanzania.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Mkuu Jingalao, kabla sijachangia naumba kuuliza, hili jina la jingalao ni jina tuu au wewe ndiye jingalao kiukweli?.
 
Mkuu Jingalao, kabla sijachangia naumba kuuliza, hili jina la jingalao ni jina tuu au wewe ndiye jingalao kiukweli?.
mkuu Pasco nashukuru kwa kuuliza.
Wewe unaonaje?tatizo ni jina au mada niliyowasilisha?
Sina uhakika lakini nafikiri Lowassa atateam na karume,na yenyewe ni team nzuri.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Jingalao, kabla sijachangia naumba kuuliza, hili jina la jingalao ni jina tuu au wewe ndiye jingalao kiukweli?.
mkuu Pasco nashukuru kwa kuuliza.
Wewe unaonaje?tatizo ni jina au mada niliyowasilisha?
Sina uhakika lakini nafikiri Lowassa atateam na karume,na yenyewe ni team nzuri.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Jingalao, kabla sijachangia naumba kuuliza, hili jina la jingalao ni jina tuu au wewe ndiye jingalao kiukweli?.
mkuu Pasco nashukuru kwa kuuliza.
Wewe unaonaje?tatizo ni jina au mada niliyowasilisha?
Sina uhakika lakini nafikiri Lowassa atateam na karume,na yenyewe ni team nzuri.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Last edited by a moderator:
mkuu Pasco nashukuru kwa kuuliza.
Wewe unaonaje?tatizo ni jina au mada niliyowasilisha?
Nilianza na mada, kama katiba inatamka hivi kuhusu mgombea na mgombea mwenza, na wewe ukatamka vinginevyo, ndipo nilipoanza kujiuliza, sasa kuja kukuta jina nalo, ndipo nikauliza kwanza kuhusu jina ndipo nichangie.

Kwa vile nimeuliza swali nikitaraji jibu, badala ya kujibiwa, nimeulizwa!, "ninaonaje?.
Nashukuru sasa nimeelewa kumbe sio jina tuu!.
Tuendelee na mada.
Kwaheri.
Pasco.
 
Nyie MaCDM si mnataka kujitoa kwenye katiba mpya sasa mnasema nini ati? Mbona hamueleweki kila kukicha na kitu kipya duu hiki cha hiki chama balaa tupu. Ati katiba mpya itaweka uhuru wa mgombea mwenza aweza kutokea bara au znz nanyi mnasema hamtaki kushiriki nani ataitetea hoja yenu? Tuambieni mnajitoa lini sie tunaendelea na mchakato wetu wa kitaifa. Kuweni na msimamo wa kuchama na sio kila mtu akilala asb akiamka anakuja na hili mwingine anakanusha daa hiki chama kama briefcase NGO!!
 
Hivi nani msemaji mkuu wa chama? Maana Mbowe alisema dodoma hadharani kuwa mnajitoa na BABU akasema pia Prof Baregu ambaye pia ni mjumbe wa CC akasema lingine kabisa...nyie gombaneni sie tumeshaptisha wajumbe wa mabaraza ya katiba tynasonga mbele na msije mkalalamika maana hamjui agenda ya kitaifa mnapita kuimarisha kanda zenu iringa, mbeya za kusadikia sawa endeleeni CCM kujipanga kwenye mchakato wa katiba mpya msirudi nyuma so far so good mnafanya vizuri sana. Ok kumbe mwenezi wenu mzee wa evening class anavyeo km mia hivi ndio maana anapwaya sana na ni neema kwetu.
 
Na msiporuhusu demokrasia kuchukua mkondo wake ndio utakuwa mwisho wenu. Uchaguzi ndani ya chama chenu unaweza ukawafanya msambaratike kabisa...yetu macho
 
Na msiporuhusu demokrasia kuchukua mkondo wake ndio utakuwa mwisho wenu. Uchaguzi ndani ya chama chenu unaweza ukawafanya msambaratike kabisa...yetu macho
msipomteua lowassa mmekwisha
 
Timu hiyo ingeweza leta matunda na Ikulu tungeingia asubuhi mapemaa. Ishu ni Katiba inayo taka mmojawapo atoke Dole au Uzini!

Sasa tutakuwa na katiba mpya wakati tunaingia kwenye uchaguzi mpya cha msingi hapa tuangalie katiba mpya itasemaje ilngawa kwa upande wangu naona ni sawa na itapendeza sana....hawa watu ni kiboko
 
CCM kila mwanachama ana haki ya kugombea same applies to Lowassa....nyie macho yenu yote kwa BABU na automatically hawezi shinda 2015 hivyo 2020 atakuwa ametimiza miaka 90
 
Zitto hawezi kufanya kazi na huyo mtu mafia.

Tena mzee huyo ni mtu wa visasi sana hafai kupewa nchi japo hata huyo zitto ni fisadi sana na mdini hivyo nae hafai kupewa nchi kwa chadema labda apewe mh said arfi
 
Back
Top Bottom