Slaa na Zitto ni turufu ya CHADEMA 2015

Slaa na Zitto ni turufu ya CHADEMA 2015

funaku

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
39,119
Reaction score
31,639
Kama kweli CHADEMA iko serious kutaka kuingia ikulu ni lazima ikapanga wagombea wake kama nilivyopendekeza yaani mgombea urais awe ni Dr slaa na mgombea mwenza awe ni Zitto. Mchanganyiko wa timu hii kwa order ya Slaa-Zitto ni mchanganyiko wenye uwezo wa kuzoa kura nyingi.

  • Timu hii ina uwezo wa kuvuta vijana hasa ukizingatia wote Slaa na Zitto ni maswahiba wakubwa wa vijana.
  • Timu hii yaweza kuvuta wazee kwa kutumia uzee na busara za Dr Slaa na busara za zitto.
  • Timu hii yaweza kuvuta wakristu kwa waislamu
  • Timu hii yaweza kuvuta watu wa mikoa mbalimbali hasa ile ya kanda za magharibi ambapo M4C imesuasua.hapa kwa wale wa kaskazini(especially wachaga) wasilete wivu na minongo'ono bali wajue hii ni timu ya kuwapa kiti cha urais kama wanataka mamlaka watayapata kupitia uwaziri n.k lakini for the sake ya ushindi ni muhimu kuisupport timu hii.
  • kwa upande wa wanawake inaweza kuwa tatizo lakini hii sio shida kwani wanawake wengi wa 2015 wataangukia kwenye kundi la vijana

CHADEMA kama mnanisikia zingatieni hili hamtajuta. Malizeni tofauti za watu hawa kama zipo na muanze maandalizi ya kuwauza kwa wananchi kama timu!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
mkuu endeleeni kujipa matumaini ya kufufua wafu, hao jamaa zako uliowataja washakufa kisiasa, naona unataka kuwafufua kwa ka thread mbuzi kako.
 
Kwa hiyo unapendekeza Zito aanze kufanya taratibu za kuhamia Zanzibar kuanzia sasa?

Kama kweli chadema iko serious kutaka kuingia ikulu ni lazima ikapanga wagombea wake kama nilivyopendekeza yaani mgombea urais awe ni Dr slaa na mgombea mwenza awe ni Zitto.mchanganyiko wa timu hii kwa order ya Slaa-Zitto ni mchanganyiko wenye uwezo wa kuzoa kura nyingi.

Chadema kama mnanisikia zingatieni hili hamtajuta.malizeni tofauti za watu hawa kama zipo na muanze maandalizi ya kuwauza kwa wananchi kama timu!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Sasa kati ya Zitto na Slaa nani mtamfanya Mzenji maana lazima mmoja atoke Mchamba wima, mfereji maringo au Kibanda Maiti kwa mujibu wa katiba

kwa katiba mpya yote yatawezekana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Tunataka maji,umeme,afya,uchumi,elimu na kikubwa zaidi ya yote ni Amani . Sasa mambo ya kutupangia wagombea mwaka 2015 haujafika nn maana yake? Au mmeshaishiwa sera mara hii na ndo maana mnazua mambo kila kukicha na mufanya vioja ili mradi msisahaurike masikioni mwa watanzania
 
Tunataka maji,umeme,afya,uchumi,elimu na kikubwa zaidi ya yote ni Amani . Sasa mambo ya kutupangia wagombea mwaka 2015 haujafika nn maana yake? Au mmeshaishiwa sera mara hii na ndo maana mnazua mambo kila kukicha na mufanya vioja ili mradi msisahaurike masikioni mwa watanzania

humu jamvini kuna threads mbalimbali zinazohusu hayo mahitaji yako ambayo si mageni katika macho na masikio yetu.
Back to topic,,
Huwezi kuongelea maji,afya elimu n.k bila kuongelea viongizi wa kisiasa watakao simamia hayo.
Mimi nimeiona timu hiyo hapo juu ni chachu ya ushindi wa chadema na inaweza kuliunganisha taifa.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Zito si kirusi leo kawa turufu

kama ikiwezekana kumuondoa zitto kwenye hilo kundi la virusi na akasimama pembeni ya Slaa basi ujue wanaccm ni bye bye 2015.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Back
Top Bottom