Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Chadema ni chama makini sana hakikurupuki kitajipanga na kitatupatia mgombea makini na sasa ni mapema sana kusema ni nani atagombea urais kupitia chadema kwa kuwa tuna watu wenye sifa wengi sana na waadilifu kwa hiyo kwa sasa tujipange tupate katiba mpya na tupate tume huru ya uchaguzi ndio tutamjua mgombea uraisi kupitia chadema uwenda akatoka ccm au akatoka humo humo ndani chadema
naomba kuwasilisha peoples powerrrrrrrrrrr
naomba kuwasilisha peoples powerrrrrrrrrrr