johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Narudia tena ni mtu mjinga tu anayeamini Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM au yule Mgombea uRais wa Zanzibar kupitia CCM anaweza Kushindwa Uchaguzi kwa Katiba ya sasa.
Chadema mlimkosea sana Dr Slaa ila huyu Mzee aliwaheshimuni kwa kutorejea CCM
Kiufupi Mbowe hamuwezi kabisa Mzee Kikwete kisiasa tangia mwaka Ule 2005 alipogaragazwa kwenye kura.za Urais hadi Kesho
Mlale Unono 😀😀
Chadema mlimkosea sana Dr Slaa ila huyu Mzee aliwaheshimuni kwa kutorejea CCM
Kiufupi Mbowe hamuwezi kabisa Mzee Kikwete kisiasa tangia mwaka Ule 2005 alipogaragazwa kwenye kura.za Urais hadi Kesho
Mlale Unono 😀😀