assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
nch kwa ss ni kama haina mwenyewe, mawaziri wanalumbana, mihimili ya dola yaani ndani ya bunge , nje ya bunge wanalumbana na wananchi nao wamechishwa wanalumbana, bei za mafuta na vyakula watu wanalumbana hakuna anyetoa jibu ss nn kimebaki