Slaa: Kikwete akipuuza nchi haitatawalika

Slaa: Kikwete akipuuza nchi haitatawalika

wajinga wengine bana.huyu alieiba mke wa mtu akatelekeza watoto ndo unamuona mungu wako.shule kitu cha mhm sana

Ukianza kuongelea waliochukua wake za watu wanamagamba wengine wanawake kila pembe ya nchi ukitaka kujua nenda Dodoma wakati Wa bunge utajua.
 
njozi kwamba chadema ikishika dola nchi hii itakuwa peponi ni fikra mgando. maendeleo ni zaidi ya chama cha siasa na itikadi zake

Maendeleo yanahitaji, watu, siasa safi, ardhi na uongozi bora unajua nani alisema haya????????????
 
Inapofikia hata watu kama mchaga25 wanaanza kuuona ukweli, ni dalili nzuri. Naona baada ya muda watabaki wachache sana wale wanaoona ukweli lakini wanajifanya hawaoni kama FF, Rejao na Ritz.
Nchi kwanini haitawaliki? Umetumia vigezo gani kufikia hii conclusion?
Ingekuwa haitawaliki wale viogozi wa CDM na NCCR wangeenda kupiga magoti Ikulu?
Inchi inatawalika, na at last na CDM wamemtambua mtawala mkuu....baba wa wote(Including Slaa) - JK!!
 
Nchi kwanini haitawaliki? Umetumia vigezo gani kufikia hii conclusion?
Ingekuwa haitawaliki wale viogozi wa CDM na NCCR wangeenda kupiga magoti Ikulu?
Inchi inatawalika, na at last na CDM wamemtambua mtawala mkuu....baba wa wote(Including Slaa) - JK!!

kwahiyo wewe kigezo chako cha kutawalika ndo hicho cha CDM na NCCR kwenda ikulu??
kwani kikwete ni rais wa vyama vya siasa??
after all, hatutawaliwi.
 
Nchi kwanini haitawaliki? Umetumia vigezo gani kufikia hii conclusion?
Ingekuwa haitawaliki wale viogozi wa CDM na NCCR wangeenda kupiga magoti Ikulu?
Inchi inatawalika, na at last na CDM wamemtambua mtawala mkuu....baba wa wote(Including Slaa) - JK!!

Jk sio baba yangu. Sina baba zezeta mimi
 
Ukianza kuongelea waliochukua wake za watu wanamagamba wengine wanawake kila pembe ya nchi ukitaka kujua nenda Dodoma wakati Wa bunge utajua.

Kama nlikuona jana UDSM
 
Mwita25 umeona ee
Amini usiamini wale walioko ndani na system wamelitambua, mkuu wa kaya akiri kabisa mambo hayaendi, kufuatia mfumuko wa bei, kuporomoka shilling kwa mara ya pili, kupanda kwa bei ya mafuta tunapo kutarajia hivi karibuni, migomo inayojiri na ambayo usalama wa taifa wa wamesha tahadharisha kuwa iko likely kutokea mwanzoni mwa mwezi wa pili.

Busara za wadau wengine zinaanza kutafutwa, hakika tuko pabaya.
 
kwahiyo wewe kigezo chako cha kutawalika ndo hicho cha CDM na NCCR kwenda ikulu??
kwani kikwete ni rais wa vyama vya siasa??
after all, hatutawaliwi.
Wananchi wanawakilishishwa na nani? Walioenda Ikulu hawakwenda kwa maslahi yao binafsi. walienda kuwawakilishi wananchi wanaowaongoza!
 
Swali la kizushi tu Mchaga!
Hivi tunastahili kutawaliwa au kuongozwa? Haa haa haa
Kwa asilimia za ujinga uliopo Tanzania tunatakiwa kutawalia vinginevyo albino wataendelea kuuwawa, vibao vya barabarani vitaendelea kuuzwa chuma chakavu, kuku na nguruwe wataendelea kupewa ARV, mboga zitapigwa ngao, net zitavulia samaki, n.k lazima mtawala awe na akili timamu mpaka tutakapo weza kuongozwa ....ignorance rate kwa mkapa ilikuwa 47%
 
hivi ni kiongozi gani aliitoa kauli hii.


huyo alikuwa dr. wilbord slaa pale unga limited arusha "namwambia kikwete nchi hii haitatawalika mpaka kieleweke" na ndicho tukionacho mzee kweli kawakomalia ccm
 
Amini usiamini wale walioko ndani na system wamelitambua, mkuu wa kaya akiri kabisa mambo hayaendi, kufuatia mfumuko wa bei, kuporomoka shilling kwa mara ya pili, kupanda kwa bei ya mafuta tunapo kutarajia hivi karibuni, migomo inayojiri na ambayo usalama wa taifa wa wamesha tahadharisha kuwa iko likely kutokea mwanzoni mwa mwezi wa pili.

Busara za wadau wengine zinaanza kutafutwa, hakika tuko pabaya.

Mkuu, JF sio sehemu ya porojo, weka facts za kutosha pamoja na data, sio kutoa maneno kwenye vijiwe vya mbege na kuleta JF.
 
Mkuu, JF sio sehemu ya porojo, weka facts za kutosha pamoja na data, sio kutoa maneno kwenye vijiwe vya mbege na kuleta JF.

Nenda TISS ukawaulize si ndio nduguzo, au unataka kupima tunajua nini fact zipi inflation 19.8%, No ajira??? Fact gani tena bei tokeni bar au bei ya mchele sokoni??? Hali ye kifedha BOT??? au malipo ya wafanya kazi wa serikali tarehe 50??? fact zipi unazozitaka??? kwamba umeme mega 3000 waz scum??? au unataka kuwa njia ocean road imefungwa kuogopa kudunguliwa??? fact gani unazozitaka kwamba CIA wanamkono kwenye ulizi wa mkulu au mradi wa kigamboni haupo tena??? fact gani unazozitaka kwamba majini ya kwenye pete yameishiwa nguvu au Obama alimuuliza mbona safari zako zimekuwa nyingi hutulii kwako???

Ritz wasalimie ughaibuni halafu ili picha yako nzuri sijui wewe mwana mazingira
 
ni wazi kabisa hii thred imeanzishwa na mtu anaefikiria kutumia masaburi ikapata wachangiaj wa aina hyo hyo

Mleta hoja na wachangiaji ni nani kati yao na wewe anaefikiria kutumia masaburi?kwani ni mleta hoja ndio kaleta mfumko wa bei?mleta hoja kapandisha bei ya umeme?mleta hoja ndo kaifanya nchi iwe hoi na kufilisika?
wewe unaonekana unatatizo katika mfumo wa ubongo,na huenda hata macho yako hayaoni jinsi hali ilivyo ndani ya hii nchi,utashabikia sana magamba lakini i promise iko siku utaacha tu,na yawezekana ikawa mapema tu kabla ya siku zako duniani.yanamwisho haya!
 
njozi kwamba chadema ikishika dola nchi hii itakuwa peponi ni fikra mgando. maendeleo ni zaidi ya chama cha siasa na itikadi zake
Fikra mgando ni hizi ulizo nazo wewe za "ccm sio tatizo". Nchi yetu inataka mabadiliko makubwa ya kiutendaji ambayo kwa hakika hayawezi kupatikana kwa ccm kuwa madarakani lazima apatikane mbadala na anayeonekana kwa sasa anaweza kutufikisha kunakohitajika ni cdm, kama wewe umeona cdm haiwezi lakini huhitaji mbadala wa ccm hizo ni fikra mgando unahitaji ukombozi wa kifikra.. amka wenzako wameamka usifikiri huu upuzi ukisema wanakuelewa badala yake wanacheka na kukung'ong'a..
 
ikulu ni mahali patakatifu! Sijui sasa papoje,yangu macho na uzima.
Mambo yanapoenda mrama kila ufanyalo haliendi.maofisi hata hao wataalam hawafanyi tena kazi,kazi kutegea ama kufanya kazi zao na wengine hata kama hawana nia ya kwenda shule ndo muda wao wa kwenda kuchukua masomo yao zaidi.

mungu tunusuru na haya mambo kama andiko linavyosema kumb.28:33

kwa sasa tunaweza kusema hivi, ikulu ni mahali padanganyifu sio patakatifu pameshaharibika
 
Back
Top Bottom