nimekubali kamanda
akupishe wewe???Ameshindwa kuongoza apishe wengine.
Hata wewe unaweza kumpokea mzigo uliomuelemea babu yako.akupishe wewe???
Picha ninayoipata ni kama waasi wameuzunguka mjini mkuu lakini Babu anatangaza kuishikilia nchi.Ni bora angatuke jahazi liendelee asisubiri kudhalilika.
kwani vipi na yeye amedondoka jukwaani?
Kidogo napata matatizo kwa nini msukumo wa kwamba Dr Slaa hafai unatoka CCM na sio CHADEMA? Kwani CCM inahofia nini?
Na ukitaka kuijua shughuli ya mamba tia mguu wako mtoni.Waasi kama ni hawa PM7 ,hawana chochote nafuu unaweza kuhofia panya kwenye nyumba kwamba wanaweza kula karanga na kuletea njaa kuliko athari ya PM7 ambaokweli ya dawa yao kwishney.Nguvu ya mamba kumayi tu ,nje ni mwepesi kama pamba.
leo naona mmeingia kazini mapema saaana au nape kawapa laptop mfanyie kazi nyumbani..... may mmeanzisha night shift.
Ameshaanza uongo tulipumzika kidogo kusikiliza pumba zake.
Dr slaa hana sifa ya kuongoza Tanzania?Haja jipanga hata ongea yake utadhani kiongozi wa waasi anae vuta bangi!
JULIANA SHONZA...FACEBOOK PAGE
Katibu mkuu ndg Peter Slaa amekuwa akinizuia kutekeleza majukumu yangu yakiongozi huku akinitisha kwa simu ya mkononi kwa kunipigia na kunitumia mesejiili nikate tamaa na kuwavunja moyo walionichagua na kisha nisusie chama kamaambavyo mh. Arfi alitaka kufanya jana mbinu ambayo imekuwa ikitumiwa naviongozi wakuu ndani ya chama kama silaha ya kudhoofisha watu ambao wanahisiwanakinzana nao kimtazamo.
Ushahidi wa meseji ujumbe mfupi wa maandishi ninao ,nanipo radhi kuupelekambele ya chama itakapo bidi.
moja ya mambo aliyoniambia dr.slaa ni kwamba
"huta kaa ukashiriki kazi yoyote ya chama,hadi pale mbowe atakapo ondokamadarakani"
wanajf hii meseji ni kutoka kwa dr.slaa kuja kwangu makamu wa baviha taifa.
Mfano mwezi wa nane mwaka huu nilijitolea kwenda kujenga chama Mbeya kwarasilimali zangu lakini cha kushangaza Slaa alinitumia meseji yavitisho(ninayo)akidai nimeenda kufanya m4c ambayo anadai eti yeye ndiye mwenyemamlaka nayo,yaani ndiye mwenye kupanga nani afanye na nani asifanye,
Nimemsilikiza Dr Slaa....
Niliamua kuchelewa kazini ili niweze kuupata muelekeo wa huyu mtu....
Kwa sasa Tanzania hakuna kiongozi mwenye kuja mambo ya uongozi kama huyu, mawenye upeo mkubwa kama huyu, na anae wajua watanzania na anajua hasa wanatakiwa wafanayiwqe nini kwa sasa!!
Kinana hamfikii hata kwa njiti ya kibiriti, Mkapa kamwacha maili elfu, JK ni "maiti" dhidi Dr Slaa!!
Mohamedi MtoiDr slaa anawalaza macho ccm na ma pro ccm, hoja zake na madudu aliyo lipua hazijibiki, wanabaki kuweweseka na kushikilia mambo yasiyo na tija kwa Tanzania.