Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

Katibu mkuu wa chadema dr.wilbroad slaa akihojiwa kuhusu hali ilivyo ndani ya chadema amedhibitisha kuwa viongozi waliosimamishwa kazi mikoani wamehusishwa na vitendo vya rushwa na utovu wa nidha mbele ya kamati kuu.Amesema kwa sasa hali ni shwari japo kuna upotoshwaji na siasa chafu zinazoenezwa na CCM.

Wakati huohuo NDUGU SLAA alishanipigia simu nakunitamkia kwamba sitakaa nishirikishughuri yoyote ya ujenzi wa chama kwani eti mimi ni mfuasi wa Zito ZuberiKabwe,na hiyo ni baada ya mimi kumuuliza kwa nini mimi sipangwi kwenye shughuriza ujenzi wa chama,na katika kipindi hicho m4c ilikuwa imeelekea Lindi naMtwara huku washiriki toka Bavicha wakiwa ni walewale Munishi naHeche,nalijibia hili kwasababu nimekuwa nikiulizwa na viongoz na wanachama kwanini sionekani kwenye ujenzi wa chama.
Hakuishia hapo slaa amekuwa akinifitinisha na viongozi wangu wa wilaya ya mbozi,wilaya niliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukujenga chamakwakupitia mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija .

Mfano ni hivi majuzi wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani kama kawaidasikupangwa kwenye kata yeyote huku viongozi wenzangu wakipangiwa ndiponilipoenda wilaya ya mbozi kata ya muyovizi lakini katika hali yakushangazamwenyekiti huyo wa wilaya alikataa kunisimamisha kuhutubia kwa madai ya kwambaameambiwa na dr.slaa mm simuungi mkono ndani ya hama hivyo asinisimamishekuhutubia.

Katika mazingira ya kawaida ni wazi kuna mazingira yakubaguliwa labda kutokanana ukanda na ukabila ambayo kwa hali ilivyo sasa haifichiki.Dr slaa ndiyeinjinia wa mipasuko ndani ya chama kitu ambacho kimelenga kubomoa nakudhoofisha jitihada zangu,dhamira yangu safi ,na utumishi uliotukuka kwa chamachangu
 
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.


Ampishe Naibu Katibu Mkuu Mh.Zitto ambaye yupo anaunda makundi ya kuchafuana ndani ya Chama huyu ndo ataweza? Kama Zitto kashindwa tu ku control kundi la watu
7 PM 7 au Masalia matokeo yake wamekuja hapa na kuvuana nguo hadharani ataweza kweli kuongoza CDM achilia mbali ndoto yake ya kuwa amiri jeshi mkuu?
 
Waasi uchiii..nataman muitshe hayo maandamano yenu muone responc ya wana wa nchi..
 
JULIANA SHONZA FACEBOOK PAGE....Wakati huohuo SLAA alishanipigia simu nakunitamkia kwamba sitakaa nishirikishughuri yoyote ya ujenzi wa chama kwani eti mimi ni mfuasi wa Zito ZuberiKabwe,na hiyo ni baada ya mimi kumuuliza kwa nini mimi sipangwi kwenye shughuriza ujenzi wa chama,na katika kipindi hicho m4c ilikuwa imeelekea Lindi naMtwara huku washiriki toka Bavicha wakiwa ni walewale Munishi naHeche,nalijibia hili kwasababu nimekuwa nikiulizwa na viongoz na wanachama kwanini sionekani kwenye ujenzi wa chama.
Hakuishia hapo slaa amekuwa akinifitinisha na viongozi wangu wa wilaya ya mbozi,wilaya niliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukujenga chamakwakupitia mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija .

Mfano ni hivi majuzi wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani kama kawaidasikupangwa kwenye kata yeyote huku viongozi wenzangu wakipangiwa ndiponilipoenda wilaya ya mbozi kata ya muyovizi lakini katika hali yakushangazamwenyekiti huyo wa wilaya alikataa kunisimamisha kuhutubia kwa madai ya kwambaameambiwa na dr.slaa mm simuungi mkono ndani ya hama hivyo asinisimamishekuhutubia.

Katika mazingira ya kawaida ni wazi kuna mazingira yakubaguliwa labda kutokanana ukanda na ukabila ambayo kwa hali ilivyo sasa haifichiki.Dr slaa ndiyeinjinia wa mipasuko ndani ya chama kitu ambacho kimelenga kubomoa nakudhoofisha jitihada zangu,dhamira yangu safi ,na utumishi uliotukuka kwa chamachangu
 
Omuntu
Hongera kwa kujiunga Jf. Naona uko na nia ya kumpaka matope kiongozi wetu.
 
Siasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.
Wewe ndo umechoka!!
 
Taswiraaaaa, kijana una khasira na Rais ajae eeenh. Utaumia sana ila ndo chaguo la Mungu.

Sidhani! Embu kwanza wazime hizo mambo za kukihujumu chama na kutupiana maneno yasiyo na msingi wa kimapinduzi zaidi ya chuki
 
Hakuna kama dr slaa lema kashinda sasa tunahamia upande wa mavuvuzela wa chadema na mwisho wao ni huu hapa
 
Wakati huohuo NDUGU SLAA alishanipigia simu nakunitamkia kwamba sitakaa nishirikishughuri yoyote ya ujenzi wa chama kwani eti mimi ni mfuasi wa Zito ZuberiKabwe,na hiyo ni baada ya mimi kumuuliza kwa nini mimi sipangwi kwenye shughuriza ujenzi wa chama,na katika kipindi hicho m4c ilikuwa imeelekea Lindi naMtwara huku washiriki toka Bavicha wakiwa ni walewale Munishi naHeche,nalijibia hili kwasababu nimekuwa nikiulizwa na viongoz na wanachama kwanini sionekani kwenye ujenzi wa chama.
Hakuishia hapo slaa amekuwa akinifitinisha na viongozi wangu wa wilaya ya mbozi,wilaya niliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukujenga chamakwakupitia mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija .

Mfano ni hivi majuzi wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani kama kawaidasikupangwa kwenye kata yeyote huku viongozi wenzangu wakipangiwa ndiponilipoenda wilaya ya mbozi kata ya muyovizi lakini katika hali yakushangazamwenyekiti huyo wa wilaya alikataa kunisimamisha kuhutubia kwa madai ya kwambaameambiwa na dr.slaa mm simuungi mkono ndani ya hama hivyo asinisimamishekuhutubia.

Katika mazingira ya kawaida ni wazi kuna mazingira yakubaguliwa labda kutokanana ukanda na ukabila ambayo kwa hali ilivyo sasa haifichiki.Dr slaa ndiyeinjinia wa mipasuko ndani ya chama kitu ambacho kimelenga kubomoa nakudhoofisha jitihada zangu,dhamira yangu safi ,na utumishi uliotukuka kwa chamachangu

Kama una dhamira ya kweli kuikomboa jamii ya watanzania wenzako hupaswi kukatishwa tamaa na mtu mmoja ndani ya chama kwani hata yeye (Dr. Slaa) akiboronga akaenda tofauti na mwongozo wa CDM naye ataenguliwa tu!
 
Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CDM.

acha kushabikia magamba kimazoea, badilika! Yaani kama baba yako alikuwa thithiem ni lazima na ww uwe humo?! Na angekuwa s...a je.....
 
Wewe ndo umechoka!!
Tell Him That...WATANZANIA Wanaakili kuliko Mafisadi, Najuwa Mtatumiwa sana ili waendelee kushika nchi, lakini Njaa, Magonjwa, Kukosa Makazi na Hali Duni ya Kiuchumi kwa watanzania walio wengi ni somo tosha kuwa sasa siyo muda tena wa mafisadi na vibarako wao. CHADEMA TUMEJIZATITI KWA HILO, In God We Trust! Peoples Power.
 
Juliana Shonza asivyo jua kufikiri anashindwa hata kuhoji tikiti lake kwa nini alikuwa apangwi kwenye shughuli za chama! Hivi ana tegemeana nini kama watu wamesha kujua wewe ni msaliti wa chama alaf wakupange ili hiweje?

Msaliti hawezi kupangwa kwenye shughuli za chama hasa huyu alivyo mtupu kichwani!

JULIANA SHONZA...FACEBOOK PAGE
Katibu mkuu ndg Peter Slaa amekuwa akinizuia kutekeleza majukumu yangu yakiongozi huku akinitisha kwa simu ya mkononi kwa kunipigia na kunitumia mesejiili nikate tamaa na kuwavunja moyo walionichagua na kisha nisusie chama kamaambavyo mh. Arfi alitaka kufanya jana mbinu ambayo imekuwa ikitumiwa naviongozi wakuu ndani ya chama kama silaha ya kudhoofisha watu ambao wanahisiwanakinzana nao kimtazamo.
Ushahidi wa meseji ujumbe mfupi wa maandishi ninao ,nanipo radhi kuupelekambele ya chama itakapo bidi.
moja ya mambo aliyoniambia dr.slaa ni kwamba
"huta kaa ukashiriki kazi yoyote ya chama,hadi pale mbowe atakapo ondokamadarakani"
wanajf hii meseji ni kutoka kwa dr.slaa kuja kwangu makamu wa baviha taifa.
Mfano mwezi wa nane mwaka huu nilijitolea kwenda kujenga chama Mbeya kwarasilimali zangu lakini cha kushangaza Slaa alinitumia meseji yavitisho(ninayo)akidai nimeenda kufanya m4c ambayo anadai eti yeye ndiye mwenyemamlaka nayo,yaani ndiye mwenye kupanga nani afanye na nani asifanye,

 
Last edited by a moderator:
Kama una dhamira ya kweli kuikomboa jamii ya watanzania wenzako hupaswi kukatishwa tamaa na mtu mmoja ndani ya chama kwani hata yeye (Dr. Slaa) akiboronga akaenda tofauti na mwongozo wa CDM naye ataenguliwa tu!

Mtu kama huyu ni vema ukakaa naye mbali sana kwani ipo siku akasema Dr. alikuwa anampigia simu ya kumtaka.
 
Back
Top Bottom