Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

WATANZANIA Wanaakili kuliko Mafisadi, Najuwa Mtatumiwa sana ili waendelee kushika nchi, lakini Njaa, Magonjwa, Kukosa Makazi na Hali Duni ya Kiuchumi kwa watanzania walio wengi ni somo tosha kuwa sasa siyo muda tena wa mafisadi na vibarako wao. CHADEMA TUMEJIZATITI KWA HILO, In God We Trust! Peoples Power.
 
Siasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.

Mmechoka ww na nani mkuu?
 
Ama kweli! hao wanaoing'ang'ania ccm lazima wana maslahi binafsi so ni vigumu mno kulikubali vuguvugu hili la mapinduzi,tusiwasikilize.
 
aliyemkana mungu na kuacha kumhubir leo anaitwa chaguo la mungu!aliemtelekeza mke aliyepewa na mungu leo ni chaguo la mungu!aliyekua kinara wa migogoro na maaskofu leo ni chaguo la mungub! mtu anaelipwa mshahara mkubwa tofauti na rank za chama chake leo ni chaguo la mungu!dr alipoteza baraka za urais alipoanza kukiwekea chama chake mashart ya kugombea.amen

Roho itakuuma sana na bado anayependwa na wengi ndio chaguo la mungu hata kama hutaki habari ndio hiyoo..
 
Ama kweli! hao wanaoing'ang'ania ccm lazima wana maslahi binafsi so ni vigumu mno kulikubali vuguvugu hili la mapinduzi,tusiwasikilize.
 
Acha kupotosha watu amesema kadi ya ccm alilipia kwa mara ya mwisho mwak 1995 alipoomba ubunge kupitia ccm
 
Nakukubari Dr. W.P.Slaa ndio kila ninapofundisha hapa chuoni kwetu ni lazima nikujengee taswira chanya kama ulivyo. Wewe ni mtu pekee unayeweza kututoa hapa tulipo nasa kwa sababu unaweza kusimamia nidhamu. CCM Wametufikisha hapa kutokana na kuruhusu nidhamu kutoweka na kukumbatiana kijngajinga. Wewe ndio tumaini letu. Masalia tumewafahamu na tutawashughulikia kwa nguvu ya umma.
 
Kweli magamba wataendelea kumchukia dr slaa sana tu. Dr. Slaa yupo fiti sana kama katibu wa chama kwani magamba wamebadili makatibu watatu ili kupambana naye. Magamba waliunda mpka kitengo cha propaganda nacho kimevunjwa baada ya kumshindwa dr slaa. Sasa kabeba jukumu hilo junior nnauye kwa pesa za kutoka ikulu, sorry kwa mwenyekiti. Mwisho wa siku naye atapumzishwa tu. Naamini kuwa dr hana price tag ndo maana wanahaha kwa kila mbinu.
 
Siasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.

Tumechoka umechoka wewe na nani?usitake kuwaingiza maneno kinywani watz,watz wa leo wanajua wanachofanya kazi ipo kwako wewe zumbukuku uliyelala usingizi wa pono kapange foleni lumumba kuchukua posho yako ya leo wenzako wanachukua.
 
Huyo dingi huwezi kumfananisha na wendawazimu wa magamba,hakurupuki kutoa maelezo na anadhani ni mwalimu mzuri kwa viongozi watajiwa kutoka kambi ya upinzani.
 
Tumechoka umechoka wewe na nani?usitake kuwaingiza maneno kinywani watz,watz wa leo wanajua wanachofanya kazi ipo kwako wewe zumbukuku uliyelala usingizi wa pono kapange foleni lumumba kuchukua posho yako ya leo wenzako wanachukua.
We ulijuaje kama kuna posho?
 
JULIANA SHONZA FACEBOOK PAGE....Wakati huohuo SLAA alishanipigia simu nakunitamkia kwamba sitakaa nishirikishughuri yoyote ya ujenzi wa chama kwani eti mimi ni mfuasi wa Zito ZuberiKabwe,na hiyo ni baada ya mimi kumuuliza kwa nini mimi sipangwi kwenye shughuriza ujenzi wa chama,na katika kipindi hicho m4c ilikuwa imeelekea Lindi naMtwara huku washiriki toka Bavicha wakiwa ni walewale Munishi naHeche,nalijibia hili kwasababu nimekuwa nikiulizwa na viongoz na wanachama kwanini sionekani kwenye ujenzi wa chama.
Hakuishia hapo slaa amekuwa akinifitinisha na viongozi wangu wa wilaya ya mbozi,wilaya niliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukujenga chamakwakupitia mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija .

Mfano ni hivi majuzi wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani kama kawaidasikupangwa kwenye kata yeyote huku viongozi wenzangu wakipangiwa ndiponilipoenda wilaya ya mbozi kata ya muyovizi lakini katika hali yakushangazamwenyekiti huyo wa wilaya alikataa kunisimamisha kuhutubia kwa madai ya kwambaameambiwa na dr.slaa mm simuungi mkono ndani ya hama hivyo asinisimamishekuhutubia.

Katika mazingira ya kawaida ni wazi kuna mazingira yakubaguliwa labda kutokanana ukanda na ukabila ambayo kwa hali ilivyo sasa haifichiki.Dr slaa ndiyeinjinia wa mipasuko ndani ya chama kitu ambacho kimelenga kubomoa nakudhoofisha jitihada zangu,dhamira yangu safi ,na utumishi uliotukuka kwa chamachangu

We nawe umeng'ang'ania hilihili tu. Sio FB jana alilileta hapa na watu hawajamwelewa. Na wewe kamwambie hatujamwelewa.
 
Siasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.

AA Dr.Slaa raisi wangu wa ukweli. Watu hawakupendi huku. Hahahahaha. Naona kaka unatamani uvunje TV hapo!!
 
nimekubali kamanda



Nimemsilikiza Dr Slaa....
Niliamua kuchelewa kazini ili niweze kuupata muelekeo wa huyu mtu....
Kwa sasa Tanzania hakuna kiongozi mwenye kuja mambo ya uongozi kama huyu, mawenye upeo mkubwa kama huyu, na anae wajua watanzania na anajua hasa wanatakiwa wafanayiwqe nini kwa sasa!!

Kinana hamfikii hata kwa njiti ya kibiriti, Mkapa kamwacha maili elfu, JK ni "maiti" dhidi Dr Slaa!!
 
Mabosi wake wa zamani ambao ndio walikuwa wanampa mashiko wameshamtosa sasa hivi waamuandaa mwadilifu mwingine ndani ya CCM subirini muone atakavyo anguka mwanguko wa mende, hana kitu Silaa anzeni kurudisha kadi zeu mapema.
 
Kidogo napata matatizo kwa nini msukumo wa kwamba Dr Slaa hafai unatoka CCM na sio CHADEMA? Kwani CCM inahofia nini?
 
Back
Top Bottom