Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 336
Ni muhuimu pia CHEDEMA watowe tamko kuhusu vijana wao hawa ambao ni hatari kwa taifa. Unajua mtu mjinga ni hatari sana kwa kuwa hajui yeye kama ni mjinga anaweza kufanya chochote akiamini yeye ni mtu bora kuliko wengine kwa kuwa tu anaweza kuongea kwenye majukwaa na watu kumshangilia.
Ni muhimu sana CHADEMA kuweka wazi haya ambayo yameandikwa na akina Juliana, na kina Ben humu.
Ni muhimu sana CHADEMA kuweka wazi haya ambayo yameandikwa na akina Juliana, na kina Ben humu.