Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Dr slaa hana sifa ya kuongoza Tanzania?Haja jipanga hata ongea yake utadhani kiongozi wa waasi anae vuta bangi!
Dr slaa hana sifa ya kuongoza Tanzania?Haja jipanga hata ongea yake utadhani kiongozi wa waasi anae vuta bangi!
Watu wanalala macho kwa tahadhari ya uzushi na uongo.Dr slaa anawalaza macho ccm na ma pro ccm, hoja zake na madudu aliyo lipua hazijibiki, wanabaki kuweweseka na kushikilia mambo yasiyo na tija kwa Tanzania.
Picha ninayoipata ni kama waasi wameuzunguka mjini mkuu lakini Babu anatangaza kuishikilia nchi.Ni bora angatuke jahazi liendelee asisubiri kudhalilika.
aliyemkana mungu na kuacha kumhubir leo anaitwa chaguo la mungu!aliemtelekeza mke aliyepewa na mungu leo ni chaguo la mungu!aliyekua kinara wa migogoro na maaskofu leo ni chaguo la mungub! mtu anaelipwa mshahara mkubwa tofauti na rank za chama chake leo ni chaguo la mungu!dr alipoteza baraka za urais alipoanza kukiwekea chama chake mashart ya kugombea.amen
Ungekuwa na babu mwenye akili kama Slaa si nawe ungerithi akili kidogo! Wewe babu yako labda WassiraBabu huenda sio mzima.
Kwako wewe kuhudhuria misiba ndio kuwa karibu na wananchi? Hata kama misiba hiyo mumeisababisha? Kweli akili ni nywele kila mtu ana zakeSiasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.
Join Date : 26th September 2011(id feki mlizofungua kuanzia july 2011 na ss)Wewe ni MASALIA hivyo tumeshakujua huna chako tena. fungua id yako mpya usiogope ndio ivyo mliingizwa mkenge. Ndio mjue kuwa cdm nao wanao fbi yao ndani. Poleni sana Masalia kwani wote mko kwa id feki mlizofungua kuanzia july 2011 na ss
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.