Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

Slaa katika 'kumepambazuka' ya ITV

Unajua watu wa aina yako Mingoi mpaka kuna wakati nawahurumia,kwani mnatumia nguvu nyingi
kummaliza Dr.Slaa lakini ni vema muwe mnafanya utafiti je mnafanikiwa? kwani imani ya
watanzania kwa Dr. Slaa ni kubwa mno ni sawa na kushindana na upepo ili usivume"
NANI KAKWAMBIA TUNA IMANI NAYE?
ameacha kujibu tuhuma za kina Juliana Shonza wa BAVICHA au yule Mama aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la kina mama kwa kumuengua katika Viti maalum akaweka wa kwake / kwao
Malalamiko ni yeye kujiamulia mambo mwenyewe akiwa mlalamikaji Mpelelezi na Hakimu
Usiwasemee watanzania wote maana mmeshaanza na kumtaja ni chaguo la MUNGU ni yupi huyo? kweli mna DHIHAKA
 
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.[/QUOT iliwaingie vibaraka wenu kina zito imekula kwenu upande.

Tangu Dr. Slaa awe Katibu Mkuu CHADEMA, MAGAMBA mmebadilisha Makatibu Wakuu mara ngapi???? Na pia KADA nyingine mara ngapi?????

Unapo kuja hapa jamvingi hebu shirikisha ubongo wako kwanza. Tatizo mnatumia matumbo kufikiri.
 
Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CHADEMA.
Wewe ni hamnazo na lazima unatumikia tumbo.! Kama watanzania wangekuwa na njaa mbaya kama hii basi upinzani ungekuwa sifuri..!
 
nimemsilikiza dr slaa....
Niliamua kuchelewa kazini ili niweze kuupata muelekeo wa huyu mtu....
Kwa sasa tanzania hakuna kiongozi mwenye kuja mambo ya uongozi kama huyu, mawenye upeo mkubwa kama huyu, na anae wajua watanzania na anajua hasa wanatakiwa wafanayiwqe nini kwa sasa!!

Kinana hamfikii hata kwa njiti ya kibiriti, mkapa kamwacha maili elfu, jk ni "maiti" dhidi dr slaa!!
...na hiindio kazi ya shabiki
 
Uko sahihi , ulegelege kama wa CCM , ukikumbatiwa ndani ya CDM , ni sawa na kumfuga Black Mamba bila kumtoa meno atakung'ata na kukuua! Dr. usiogope Watanzania wengi wanyonge na masikini wako na wewe !
 
JULIANA SHONZA FACEBOOK PAGE....Wakati huohuo SLAA alishanipigia simu nakunitamkia kwamba sitakaa nishirikishughuri yoyote ya ujenzi wa chama kwani eti mimi ni mfuasi wa Zito ZuberiKabwe,na hiyo ni baada ya mimi kumuuliza kwa nini mimi sipangwi kwenye shughuriza ujenzi wa chama,na katika kipindi hicho m4c ilikuwa imeelekea Lindi naMtwara huku washiriki toka Bavicha wakiwa ni walewale Munishi naHeche,nalijibia hili kwasababu nimekuwa nikiulizwa na viongoz na wanachama kwanini sionekani kwenye ujenzi wa chama.
Hakuishia hapo slaa amekuwa akinifitinisha na viongozi wangu wa wilaya ya mbozi,wilaya niliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukujenga chamakwakupitia mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija .

Mfano ni hivi majuzi wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani kama kawaidasikupangwa kwenye kata yeyote huku viongozi wenzangu wakipangiwa ndiponilipoenda wilaya ya mbozi kata ya muyovizi lakini katika hali yakushangazamwenyekiti huyo wa wilaya alikataa kunisimamisha kuhutubia kwa madai ya kwambaameambiwa na dr.slaa mm simuungi mkono ndani ya hama hivyo asinisimamishekuhutubia.

Katika mazingira ya kawaida ni wazi kuna mazingira yakubaguliwa labda kutokanana ukanda na ukabila ambayo kwa hali ilivyo sasa haifichiki.Dr slaa ndiyeinjinia wa mipasuko ndani ya chama kitu ambacho kimelenga kubomoa nakudhoofisha jitihada zangu,dhamira yangu safi ,na utumishi uliotukuka kwa chamachangu

Huyu Juliana hata kujenga hoja hawezi halafu anataka aachiwe aende mtaani peke yake akidai kuwa anajenga chama............ kweli anafikiri CDM ni wajinga. Badala ya kujenga atakibomoa chama huyu dada!!!
 
mwaka huu mtaisoma MAGAMBA, Na lema ndo karudi mzigoni tena. pepleees pawer
 
Siasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.
wewe kama mtanzania unataka sera zipi za ccm au? kama ni za ccm basi utakuwa unawendawazimu na akili yako inamatatizo ya kufikiria
 
HIVI KUNA UHUSIANO GANI KATI YA UFISADI KAMA WA{ EPA, RICHMOND,MEREMETA, KAGOGA, DOWANS aka symbion na mengine}, KUKOSEKANA KWA MADAWA,UGUMU WA MAISHA, MFUMUKO WA BEI, MAUAJI YA RAIA WASIO NA HATIA KILA KUKICHA aka{, KUGONGWA NA VITU VIZITO/VENYE NCHA KALI} na DR SLAA KUMILIKI KADI YA CCM? MI NAAMINI NI NJIA YA KUWATOA WA TANZANIA KWENYE MADA ZA MSINGI NA MATATIZO YANAYOWAZUNGUKA. NA TUNATAKIWA TUJIULIZE DR KUMILIKI IYO KADI YA MAGAMBA NDO KUMESABABISHA MATATIZO YOTE HAYA HAPA TANZANIA? TATIZO NI CCM NA WALE WOTE WANAOWAPIGIA KURA ZA KUENDELEA KUKAA MADARAKANI NA KUZIDI KUTUIBIA
 
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.

Kweli kabisa gamba la mingoi - Lindi umeona mbali!. Najua ulisahau kuwa "shemeji yako anatutesa!'' Hebu angalia: sukari sh. 2500/= (alipoingia madarakani sh. 700/=), Sembe 1500 (alipoingia madarakani sh. 300/=), Mafuta ya kupikia lita 3 sh. 9000/=(alipoingia madarakani sh. 3000/=), Kilo ya nyama 6000 (alipoingia madarakani sh. 1500/=), Mchele 2500/= (alipoingia madarakani sh. 800/=) n.k.. Ufisadi unaongezeka, raia wanauawa na polisi!.. Chama chake kinaiba wanyama pori wetu na kuua wengine!. Jangili anapewa ukatibu mkuu!. Yeye na chama chake wajiuzulu!..
 
...na hiindio kazi ya shabiki

Umekosa upeo tu!!
Mwalimu JK tunamkubali kwa misimamo yake..
Mzee Madiba tunamkubali kwa misimamo yake..

Wewe huo unaita ushabiki??? JK mnamkubali kwa lipi? matabasamu ya kumwaga!
 
Leo kwenye kipindi cha KUMEKUCHA ITV dr.slaa amekili wazi kwamba ameilipia kadi ya CCM kwa miaka 20 na bado anaimiliki kadi hiyo ya chama kwa maslahi yake binafsi.
Pia ameongeza amelipia kadi ya CHADEMA kwa miaka 20 zaidi mbele.(Itv leo asubuhi)

Huko mwanza CCM waendesha kampeni ya kuchangisha fedha za kulipia kadi ya DR.SLAA na fedha hizo Dr.slaa anategemea kukabidhiwa jumatatu.Aende akalipie kadi hiyo miaka miwili zaidi.(Star tv habari)

Huko Tanga,Kisandu(BAVICHA) atoa tamko la kuomba uchaguzi wa rais Urudiwe,Kisa haiwezekani Uchaguzi wa mwaka 2010 CCM wasimamishe wagombea wawili KIKWETE na Dr.slaa(Majira gazeeti la Leo).

Huko Iringa VICENT nyerere(Mbunge wa CHADEMA) jana kwenye mkutano wa hadhara ameomba uchaguzi Urudiwe wa Rais mwaka 2010 kisa kadi ya Dr.slaa

Kutoka mpanda(Said Arfi) MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA TAIFA.amesema amechoka na mwenendo wa chama hasa kiuongozi kumhujumu jimboni kwake na viongozi wa juu wa chama.Hivyo atatoa uamuzi mgumu kwa maslahi ya watanzania muda si mrefu.(Radio Imam)

HONGERA SANA LEMA MBUNGE WA ARUSHA MJINI,HAKIKA HAKI YA MTU HAIPOTEI BALI HUCHELEWESHWA
 
Leo kwenye kipindi cha KUMEKUCHA ITV dr.slaa amekili wazi kwamba ameilipia kadi ya CCM kwa miaka 20 na bado anaimiliki kadi hiyo ya chama kwa maslahi yake binafsi.
Pia ameongeza amelipia kadi ya CHADEMA kwa miaka 20 zaidi mbele.(Itv leo asubuhi)

Huko mwanza CCM waendesha kampeni ya kuchangisha fedha za kulipia kadi ya DR.SLAA na fedha hizo Dr.slaa anategemea kukabidhiwa jumatatu.Aende akalipie kadi hiyo miaka miwili zaidi.(Star tv habari)

Huko Tanga,Kisandu(BAVICHA) atoa tamko la kuomba uchaguzi wa rais Urudiwe,Kisa haiwezekani Uchaguzi wa mwaka 2010 CCM wasimamishe wagombea wawili KIKWETE na Dr.slaa(Majira gazeeti la Leo).

Huko Iringa VICENT nyerere(Mbunge wa CHADEMA) jana kwenye mkutano wa hadhara ameomba uchaguzi Urudiwe wa Rais mwaka 2010 kisa kadi ya Dr.slaa

Kutoka mpanda(Said Arfi) MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA TAIFA.amesema amechoka na mwenendo wa chama hasa kiuongozi kumhujumu jimboni kwake na viongozi wa juu wa chama.Hivyo atatoa uamuzi mgumu kwa maslahi ya watanzania muda si mrefu.(Radio Imam)

HONGERA SANA LEMA MBUNGE WA ARUSHA MJINI,HAKIKA HAKI YA MTU HAIPOTEI BALI HUCHELEWESHWA
Inaonekana wewe ni mfuatiliaji mzuri sana wa chama dume kuliko chama chako, hongera kwa kuitangaza CDM bila kujua.
 
Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CHADEMA.

wananchi wapi hao? labda ujiongelee wewe mwenyewe, slaa anakubalika kiuliko unavyofikiri
 
Back
Top Bottom