Hata wewe unaweza kumpokea mzigo uliomuelemea babu yako.
je yule anaenguka hovyo majukwaani mbona hamumpokei
Hata wewe unaweza kumpokea mzigo uliomuelemea babu yako.
NANI KAKWAMBIA TUNA IMANI NAYE?Unajua watu wa aina yako Mingoi mpaka kuna wakati nawahurumia,kwani mnatumia nguvu nyingi
kummaliza Dr.Slaa lakini ni vema muwe mnafanya utafiti je mnafanikiwa? kwani imani ya
watanzania kwa Dr. Slaa ni kubwa mno ni sawa na kushindana na upepo ili usivume"
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.[/QUOT iliwaingie vibaraka wenu kina zito imekula kwenu upande.
Tangu Dr. Slaa awe Katibu Mkuu CHADEMA, MAGAMBA mmebadilisha Makatibu Wakuu mara ngapi???? Na pia KADA nyingine mara ngapi?????
Unapo kuja hapa jamvingi hebu shirikisha ubongo wako kwanza. Tatizo mnatumia matumbo kufikiri.
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.
Wewe ni hamnazo na lazima unatumikia tumbo.! Kama watanzania wangekuwa na njaa mbaya kama hii basi upinzani ungekuwa sifuri..!Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CHADEMA.
namuona kwa mbali katibu mkuu wa cdm w.slaa akifafanua maana ya operation mbalimbali za cdm
...na hiindio kazi ya shabikinimemsilikiza dr slaa....
Niliamua kuchelewa kazini ili niweze kuupata muelekeo wa huyu mtu....
Kwa sasa tanzania hakuna kiongozi mwenye kuja mambo ya uongozi kama huyu, mawenye upeo mkubwa kama huyu, na anae wajua watanzania na anajua hasa wanatakiwa wafanayiwqe nini kwa sasa!!
Kinana hamfikii hata kwa njiti ya kibiriti, mkapa kamwacha maili elfu, jk ni "maiti" dhidi dr slaa!!
Wananchi gani unaowaongelea wewe? Mbona wananchi ni sisi na bado tuna imani sn na Dr?
JULIANA SHONZA FACEBOOK PAGE....Wakati huohuo SLAA alishanipigia simu nakunitamkia kwamba sitakaa nishirikishughuri yoyote ya ujenzi wa chama kwani eti mimi ni mfuasi wa Zito ZuberiKabwe,na hiyo ni baada ya mimi kumuuliza kwa nini mimi sipangwi kwenye shughuriza ujenzi wa chama,na katika kipindi hicho m4c ilikuwa imeelekea Lindi naMtwara huku washiriki toka Bavicha wakiwa ni walewale Munishi naHeche,nalijibia hili kwasababu nimekuwa nikiulizwa na viongoz na wanachama kwanini sionekani kwenye ujenzi wa chama.
Hakuishia hapo slaa amekuwa akinifitinisha na viongozi wangu wa wilaya ya mbozi,wilaya niliyotumia nguvu yangu na uwezo wangu mkubwa kukujenga chamakwakupitia mwenyekiti wa wilaya bwana john mwambigija .
Mfano ni hivi majuzi wakati wa uchaguzi mdogo wa udiwani kama kawaidasikupangwa kwenye kata yeyote huku viongozi wenzangu wakipangiwa ndiponilipoenda wilaya ya mbozi kata ya muyovizi lakini katika hali yakushangazamwenyekiti huyo wa wilaya alikataa kunisimamisha kuhutubia kwa madai ya kwambaameambiwa na dr.slaa mm simuungi mkono ndani ya hama hivyo asinisimamishekuhutubia.
Katika mazingira ya kawaida ni wazi kuna mazingira yakubaguliwa labda kutokanana ukanda na ukabila ambayo kwa hali ilivyo sasa haifichiki.Dr slaa ndiyeinjinia wa mipasuko ndani ya chama kitu ambacho kimelenga kubomoa nakudhoofisha jitihada zangu,dhamira yangu safi ,na utumishi uliotukuka kwa chamachangu
wewe kama mtanzania unataka sera zipi za ccm au? kama ni za ccm basi utakuwa unawendawazimu na akili yako inamatatizo ya kufikiriaSiasa zenye agenda ya siri zimeifikisha hapa CHADEMA,kuna karunguyeye hapa eti wanasema Dr Slaa anajua shida za watanzania shida zipi? lini umewahi kumuona huyu mzee akiwa karibu na watanzania kwenye shida zaidi ya kuwatumia kwenye mikutano na maandamano kupenyeza propaganda zake.Muda wa propaganda ulishaisha zamani tumechoka na siasa za uongo.
Ameshindwa kuongoza apishe wengine.
anstahili pole kama huo ndio msimamo wake.Anazungumzia wananchi wanaoingia kwenye jf hapa,
...na hiindio kazi ya shabiki
Inaonekana wewe ni mfuatiliaji mzuri sana wa chama dume kuliko chama chako, hongera kwa kuitangaza CDM bila kujua.Leo kwenye kipindi cha KUMEKUCHA ITV dr.slaa amekili wazi kwamba ameilipia kadi ya CCM kwa miaka 20 na bado anaimiliki kadi hiyo ya chama kwa maslahi yake binafsi.
Pia ameongeza amelipia kadi ya CHADEMA kwa miaka 20 zaidi mbele.(Itv leo asubuhi)
Huko mwanza CCM waendesha kampeni ya kuchangisha fedha za kulipia kadi ya DR.SLAA na fedha hizo Dr.slaa anategemea kukabidhiwa jumatatu.Aende akalipie kadi hiyo miaka miwili zaidi.(Star tv habari)
Huko Tanga,Kisandu(BAVICHA) atoa tamko la kuomba uchaguzi wa rais Urudiwe,Kisa haiwezekani Uchaguzi wa mwaka 2010 CCM wasimamishe wagombea wawili KIKWETE na Dr.slaa(Majira gazeeti la Leo).
Huko Iringa VICENT nyerere(Mbunge wa CHADEMA) jana kwenye mkutano wa hadhara ameomba uchaguzi Urudiwe wa Rais mwaka 2010 kisa kadi ya Dr.slaa
Kutoka mpanda(Said Arfi) MAKAMU MWENYEKITI CHADEMA TAIFA.amesema amechoka na mwenendo wa chama hasa kiuongozi kumhujumu jimboni kwake na viongozi wa juu wa chama.Hivyo atatoa uamuzi mgumu kwa maslahi ya watanzania muda si mrefu.(Radio Imam)
HONGERA SANA LEMA MBUNGE WA ARUSHA MJINI,HAKIKA HAKI YA MTU HAIPOTEI BALI HUCHELEWESHWA
Ndo kilichobaki sasa, na atafafanua sana, ila wananchi wameshajua mbivu na mbichi ndani ya CHADEMA.