MTUSIASA
Senior Member
- Apr 15, 2015
- 179
- 49
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume? Samahani lakini..!
hahahahahahahahahah
Hivi wewe ni mwanamke au mwanaume? Samahani lakini..!
Good thing ni kwamba amekiri tuhuma zote ikiwemo kulindwa na maofisa usalama wa Taifa, kuishi hotelin Serena kwa zaidi ya mwezi sasa...kwenda Serengeti kufanya vikao na maofisa wa CCM, kukutana na Dk Mwakyembe saa chache kabla ya kukutana na waandishi wa habari...
Mwisho wa siku naamini atakiri hata ile tuhuma kubwa ya kununuliwa kwa dau kubwa na CCM!
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
Jamani leo mmenikumbusha mtu mmoja. Hivi MAKONGORO NYERERE yupo wapi??
Mimi siongelei nchi nyingine naongelea tanzania, ngoja nikupe tafakuri ndogo tu, inderectly jinsi ccm ilivyoleya umaskini kwenye jamii ya pwani ntaandika in codede language(kwa mafumbo) unajua ccm imesababisha umaskini sana hasa maeneo ya pwani na umaskini umesababisha vijana wengi hasa wa kiislamu kujiingiza kwenye vitendo au matendo ambayo hayapendezi mfano ukahaba na mambo ka bongo fleva nk kutokana na kutafuta kipato, mfano vijana wa kiislamu walioko bongo fleva
1.ali kiba
3.nasibu abduli(diamond)
4.samir(mr blue)
5.shetan
6.dully
7.mwana fa
8.mwasiti
9.shilole
Na wengine wengi karibia 90%, unajua kwa nini wapo huko ni kwa sababu ya kutafuta njia rahisi ya kutoka hasa baada ya ccm kuleta umaskini mkubwa kwenye jamii yenye waislamu wengi. Hapo nimekupa mfano obvious ila ukienda kwenye ukahaba nenda buguruni pale uliza kati ya machangudoa 5 wanne wanamajina ya kiislamu
Anyway nisiongee sana, ila mimi nakuonaga unavyotetea uslamu huku unatetea ccm iendelee kutawala na kati kuna impact kibao kwenye uislamu huwa sielewi..!? Au ni unafki sijui.!? Au ni njaa unapata kula kupitia ccm.?! Au ni mtoto wa kigogo wa chama na huku unaipenda dini.? Sielewagi kabisa..?! Ila nikuache bana..? Allah ndo mjuzi zaidi na katujalia upeo tofauti wa kuangalia mambo ila angalia watu ka kina nuhu mziwanda, wema, shamsa ford, qchillah na wasanii wengine wengi watoto wa kiislamu wanakimbilia huko kwa sababu ya umaskini ulioletwa na DUBWANA ccm, kila la heri ila wanafki watatupwa daraja la chini kabisa la moto.
View attachment 284158
Hapa Mzee wako Slaa anapokea upako, kutoka kwa unayesema ana mapepo machafu!
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
Hivi mpaka leo unaamini vichwa vya habari vyaagazeti ya Tz? wee una mapungufu.![]()
My take
kama mwanasiasa level ya Dr Slaa anashindwa kujisimamia maneno ya kuongea basi tuna safari ndefu ya kwenda
Hiko Kilabu kimepewa kibali na mamlaka? Je kinalipa kodi?Sasa fikiri Mwenyekiti wa chama ana kilabu cha pombe cha usiku ambao makahaba watoto wadogo wadogo wanajiuza hapo, tumpe nchi? Si ataifanya nchi nzima danguro? Fikiri.
Na aokote tumuone....Alishakuwa sema bado kuokota tu makopo. Huwezi amaini mtu tuliyemthamini namna ile amekuwa kama choo cha shimo kwa siku 5 tu.Looh
Yuko Olmatejoo Kwenye Vilabu Vya Chang'aa
Sasa fikiri Mwenyekiti wa chama ana kilabu cha pombe cha usiku ambao makahaba watoto wadogo wadogo wanajiuza hapo, tumpe nchi? Si ataifanya nchi nzima danguro? Fikiri.
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.