Leo unamsujudia padri?
1999 JK akiwa bungeni alipendekeza makahaba watozwe kodi na kazi yao ihalalishwe km ilivyo kwa nchi za ulaya#
Sasa JK ni Rais na vitendo vya ukahaba na ushoga vimeongezeka sana ktk awamu hii! Haijawahi kukemea popote pale tangu awe Rais#
Maghufuli atapeleka nyama ya kitimoto ikulu
Hiko Kilabu kimepewa kibali na mamlaka? Je kinalipa kodi?
Haya sasa, changanya na za kwako!!!
Kwi kwi kwi kwi!!! Kweli dunia mzuguko!! Leo Faizyfox kawa mpambe wa Dr. Slaa?
Mamlaka ya CCM ina dini?Mamlaka zisizo na dini na yeye hana dini?
ninyi ndo mnafanya mapadri waonekane vibaka huyu mzinzi naye ni Padri?
Acha kumdhihaki Mungu we kiumbe...
Jisomee, kama lugha inapanda: He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile | Comment is free | The Guardian
Hiyo ni hapa hapa Tanzania, sijavuka mpaka.
I hope umenielewa japo umekimbia point yanguSasa fikiri Mwenyekiti wa chama ana kilabu cha pombe cha usiku ambao makahaba watoto wadogo wadogo wanajiuza hapo, tumpe nchi? Si ataifanya nchi nzima danguro? Fikiri.
Wanasema utu uzima dawa... Wako utakua sumu.
MUSSA ALLAN head to head na FaizaFoxy ........ mpaka Raha. Can't believe two months ago walikuwa same team.
bigresult .......... mmeshirikisha Maaskofu, Benki yenu na Kanisa katika Ufisadi. Mwisho wa siku mnajenga Makanisa Makuubwa ndani mnakita Masanamu ! .... damhn !:fear:we ni jini,ktk vipindi vyote vya uongozi anapotawala gaidi nchi inayumba sana maana yanaiba kwenda kucheza ngoma tu.