Kanisa na lenyewe linatakiwa kukaa chini na kutafakari.Limekumbwa na kashfa nyingi sana siku za karibuni kitu ambacho kama kanisa la Mungu halitakiwi kuwa nacho.Hawa maaskofu wamekuwa wakipokea fedha kutoka kwa watu ambao si waaminifu.Hapa waumini tuwaeleweje?.Huyu Gwajima ni mfanyabiashara tu hakuna Gospel hapo.
Kwi kwi kwi kwi!!! Kweli dunia mzuguko!! Leo Faizyfox kawa mpambe wa Dr. Slaa?
Udadisi tu, hivi kwa nini hujidai kuupenda uislamu alafu unashabikia chama kilicho uangamiza uislamu tanzania.
nisiandike sana nipate ban..la " wanafki watawekwa daraja la chini kabisa la moto"
![]()
My take
kama mwanasiasa level ya Dr Slaa anashindwa kujisimamia maneno ya kuongea basi tuna safari ndefu ya kwenda
Sijawahi sikia mwanasiasa kama slaa aliyekufa kwa saa moja
View attachment 284158
Hapa Mzee wako Slaa anapokea upako, kutoka kwa unayesema ana mapepo machafu!
Kanisa na lenyewe linatakiwa kukaa chini na kutafakari.Limekumbwa na kashfa nyingi sana siku za karibuni kitu ambacho kama kanisa la Mungu halitakiwi kuwa nacho.Hawa maaskofu wamekuwa wakipokea fedha kutoka kwa watu ambao si waaminifu.Hapa waumini tuwaeleweje?.Huyu Gwajima ni mfanyabiashara tu hakuna Gospel hapo.
sawa kabisa tumeona na wale waislamu waliofukuzwa Syria na Iraq na weislam wenzao wameingia Ulaya nifuja kwa kwenda mbele,na hapa Tanzania mnazidi kuoa dada zetu Wakristo kwa nia ovu ya kueneza dini
sijawahi kusikitishwa na mtu yeyote katika kipindi cha miaka 15 iliyopita kama alivyonisikitisha Dr slaa !![]()
My take
kama mwanasiasa level ya Dr Slaa anashindwa kujisimamia maneno ya kuongea basi tuna safari ndefu ya kwenda
Wagalatia ni wezi na ndio wanao irudisha nyuma nchi hii!
utahangaika sana mwaka huu bibi yangu. tulia sindano ziingie...acha kubana makalio!
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.