Dr. Slaa hatufai na pia Mungu ametusaidia kumjua alivyo yaani hafai hata kidogo
Labda karetreat-maana kila anavyozidi kwenda ndo-watu wanazidi kushidwa kumueleawa na kuuliza maswali magumu, of coz na lowasa kashamjibu, kwa kumuliza list of shame alikuwa na wenzake na kuna wanaogombea nafasi mbali mbali na kupiga kampeni, mbona hawaongelei wao.?Azam 2 mbona ni katuni tu saa tatu ishapita?!
Udadisi tu, hivi kwa nini hujidai kuupenda uislamu alafu unashabikia chama kilicho uangamiza uislamu tanzania.
nisiandike sana nipate ban..la " wanafki watawekwa daraja la chini kabisa la moto"
Hicho siyo kijarida cha Gwajima?
Na dhambi zake zote, Babu daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa akamuangukie mchungaji anaetumia mapepo machafu?
Haiingii akilini hata chembe.
utahangaika sana mwaka huu bibi yangu. tulia sindano ziingie...acha kubana makalio!
View attachment 284110
My take
kama mwanasiasa level ya Dr Slaa anashindwa kujisimamia maneno ya kuongea basi tuna safari ndefu ya kwenda
haa haa mwaka huu mtajiju tu....
Ndugu yangu me ni muislamu wa swala tano!Udadisi tu, hivi kwa nini hujidai kuupenda uislamu alafu unashabikia chama kilicho uangamiza uislamu tanzania.
nisiandike sana nipate ban..la " wanafki watawekwa daraja la chini kabisa la moto"
Kanisa na lenyewe linatakiwa kukaa chini na kutafakari.Limekumbwa na kashfa nyingi sana siku za karibuni kitu ambacho kama kanisa la Mungu halitakiwi kuwa nacho.Hawa maaskofu wamekuwa wakipokea fedha kutoka kwa watu ambao si waaminifu.Hapa waumini tuwaeleweje?.Huyu Gwajima ni mfanyabiashara tu hakuna Gospel hapo.
Maajabu sana FaizaFoxy leo unamtetea Dk mihogo!
Kiukweli amepotoka sana na ukimwangalia kwa makini akiongea unaona kuna dalili anajutia kwa aliyoyafanya!