mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 250
naomba msaada wa jinsi ya kutumia skype tayari nimeregist na kama kuna mtu ana materia ya networking tafadhali
kwangu ilikuwa inasababisha computer kuwa slow sana sijuwi kwa wengine, wengine wanashauri google talk plugin ndo nzuri kuliko skypenaomba msaada wa jinsi ya kutumia skype tayari nimeregist na kama kuna mtu ana materia ya networking tafadhali
skype ipo bomba tu mkuu na wengi wanaitumia...cha kufanya download software yao ni free just google it then install..baada ya hapo login kwa kutumia details zako ulizo register...done!kompyuta yako inahitaji kuwa na camera kama unataka vedio calls za bure kwa watu ambao wamejiandikisha kama wewe kwenye skype
macinkus