ifike point mkue hii forum ni kwa ajili ya kutoa la moyon sasa we kama yanakuuma ukisikia mabaya kaa kimya kuliko kuita wenzio wapuuz kwao limewafika kama bado kwako ni suala la mda ingekua ni mwanafunz uliekosa mkpo usinge sema haya sa iz,ungekosa chanjo hospital usinge uona upuuz wa watu.tuachen unafki na ubinafsi kisa wewe yamekunyookea kusema watu waliish kwa dil lakin chanjo zilikuepo na leo dil hamna na chanjo kwisha nani mjanja hapo? kizur chajiuza kibaya ndo kinapenda kelele.Mungu anawaona.
Acha panik hayajakukuta ndo mana unasema tunalaumu na usijishaue et hujui hivo vitu hamna.punguza mahaba niue.Hii forum nitasema chochote naji feel, utakaa kimya mwenyewe, ungenielezea ni chanjo gani hazipatikani mahospital, na ni mwaka gani wanafunzi wote walipata mkopo. Me sio kwamba nimenyokewa na wala hakuna mtu anaenyokewa mambo yake yote, siku zote duniani kuna changamoto, tusiwe watu wa kulaumu laumu.
Ndugu yangu bora ungenyamaza humu tunajuana wengi wao wanapenda mafanikio bila kuyahangaiki elewa hizi ni tabia za kibongo tabia za kiswahili.hata wote wangepata bado wangedai mengine umesahau tabia za waswahili?Hii forum nitasema chochote naji feel, utakaa kimya mwenyewe, ungenielezea ni chanjo gani hazipatikani mahospital, na ni mwaka gani wanafunzi wote walipata mkopo. Me sio kwamba nimenyokewa na wala hakuna mtu anaenyokewa mambo yake yote, siku zote duniani kuna changamoto, tusiwe watu wa kulaumu laumu.
bei ya sembe na yenyewe ilikua ya ujanja ujanja? kushuka kwa Tsh vs $ je? bei ya mafuta leo 2060 je?~~~~~>>>>Uchumi wa Tanzania ulijengwa ktk Misingi ya Ufisadi na Ujanja Ujanja....
~~~~>>>>Awamu ya Tano wameziba mianya ya Wizi ghafla..... Lazima mtikisiko utokee kidogo....
~~~~~>>>> Le Châtelier's principle...... If the system is in Equilbrium and the changes occurs, the sytem will do what it can to oppose the Changes...
Kwahiyo haya matusi na vijembe ni ktk kukabiliana na mabadiliko.......
Acha panik hayajakukuta ndo mana unasema tunalaumu na usijishaue et hujui hivo vitu hamna.punguza mahaba niue.
Sikh hizi anabutua butua mpiraMpendwa Sizonje habari za siku.... natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti...
Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha!! Kwamba kocha wa timu yetu hawezi... kocha mzembe na anafuga uvundo....
Kadiri tulipokutana kila baada ya sentensi tatu lazima umseme kocha kila siku ikawa hamkani si shwari!!
Sizonje utakumbuka kocha alikuvumilia sana japokuwa ulikua huwezi!! Mdomo na maneno mengi yalikubeba kwa mashabiki lakini wachezaji wenzio walikujua!! Ulikua bingwa wa kukariri tarakimu za mchezo bila ujuzi na weledi wa mchezo!! Hata kocha alipoonywa sana juu ya kiwango chako kibovu bado alikubeba ingawa ulimsogoa!!
Hayawi hayawi yakawa Sizonje!! Kauli zako zikalipa!! Kocha akastaafu na ukocha ukapewa wewe!! Kila mtu ndani ya timu akiduwaa mashabiki waliolewa kauli zako tamu ziso kifani walikubeba hatimaye ukawa kocha!!
Awali ulionesha uwezo wa kukonga mashabiki kwa sifa na vitimbi kemkem!! Siku zikasonga mashabiki wakaona timu inarejea nyuma kuliko ilikokuwa kwa kocha mzembe!!
Nakujua Sizonje!! Hupendi kukosolewa na wala hupendi kimya cha sifa!! Vigelegele vya mashabiki na vifijo vimekoma!! Mbinu zote za michezo ulizotumia zimebuma!! Timu inarudi nyuma kwa kasi na wachezaji wameshapoteza mori!! Kila ugusapo sasa hapagusiki!! Wachezaji wanaonesha ari machoni pako tu lakini uwanjani wamedorora!!
Sizonje usichanganyikiwe... mambo bado ndio kwanza safari inaanza!! Ishike ngao na kigao kuyahimili majira!!!
Kwa leo naishia hapa Sizonje nikija mjini ntakutembelea tule maboga ya enzi zetu.
-----------------------------------------------------------------
UPDATES:
----------------------------------------------- ---------------
Wakuu napenda kuwaarifu kuwa nimepata taarifa nyeti na rasmi kuwa kocha wetu mpendwa Sizonje ameusoma uzi huu na comments zenu zote. Shukrani kwa wote mliotoa ushauri kwa kocha wetu.
sizonje alikuwa anasema nchi hii tajiri,ona sasa mapato ya nchi yanakata roho,
mipango ya maendeleo ya uchumi kwenye halmashauri imekuwa "hewa"
BadoHahahaha bado sana tu ya akina Bashite madogo
Anazuga tu, utawajua watu wanaoleta mdhaha kwenye mambo muhimu.Doh yaani hujamjua tu Sizonje?
Anakesha mtandaoni kusoma comments watz wamemkalia vibaya sanaInasemekana halali usingizi