Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje anacheza nje ya ni bit ,najiuliza mpaka sasa nakosa majibu nani alimsajili huyu kwenye timu yetu? Kutoka kua mchezaji wa kawaida mpaka kocha??? Ona sasa timu inashuka daraja kocha hajali ,ameshindwa kupanga first eleven,capten hasikilizwi kwa ushauri,anasikilizwa under 21 wa timu B,sizonje hii timu yetu mbona hatushindiiii?
 

Hii forum nitasema chochote naji feel, utakaa kimya mwenyewe, ungenielezea ni chanjo gani hazipatikani mahospital, na ni mwaka gani wanafunzi wote walipata mkopo. Me sio kwamba nimenyokewa na wala hakuna mtu anaenyokewa mambo yake yote, siku zote duniani kuna changamoto, tusiwe watu wa kulaumu laumu.
 
Acha panik hayajakukuta ndo mana unasema tunalaumu na usijishaue et hujui hivo vitu hamna.punguza mahaba niue.
 
Ndugu yangu bora ungenyamaza humu tunajuana wengi wao wanapenda mafanikio bila kuyahangaiki elewa hizi ni tabia za kibongo tabia za kiswahili.hata wote wangepata bado wangedai mengine umesahau tabia za waswahili?
 
Lakini mbona Sizonje anatamani kuwa beki wa kati? nana atakua kocha?
 
bei ya sembe na yenyewe ilikua ya ujanja ujanja? kushuka kwa Tsh vs $ je? bei ya mafuta leo 2060 je?
 
Acha panik hayajakukuta ndo mana unasema tunalaumu na usijishaue et hujui hivo vitu hamna.punguza mahaba niue.

Me sijapanick bhana, najishaua aje sasa, hujanijibu chanjo gani haipatikani hospitals, hujanijibu mwaka gani wanafunzi wote walipata mkopo, sasa nani mwenye mahaba niue kati yangu nawe.
 
Uzuri wake makamisaa wanamwambia time IPO kwenye kiwango bora haijawah tokea tangu kuumbwa kwa duara hili
 
Sikh hizi anabutua butua mpira
 
Naona sizonje maji yanataka kuzidi unga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…