Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Maana ya sizonje ni ile uliobaki nayo kichwani lakini huwezi ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, kweli chungu hakimlaumu mfinyanzi,
 
sizonje.......kweli mambo bado,usichanganyikiwe,kama mwaka jana ulisema sherehe ni matumizi mabaya ya fedha,mwaka huu umetumia fedha kufanya sherehe hizohizo
 
Jana Pombe Mlizidisha? [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Jf raha sana
 
Reactions: BAK
We unatafuta ukapteni Mwenye timu ya sizonje huna lolote!
 
Reactions: BAK
Sizonje, jukwaa kuu tu ndio linalipia kuangalia mechi, mashabiki wengine wote unawaingiza bure kuangalia mechi. Sasa pato la kuendeshea timu litapatikana vipi?
 
Kabisa Mkuu halafu hata vyeti vyake vilivyomuwezesha kupewa ukocha wengi wameanza kuvitilia mashaka na kudai hana sifa ya kuwa kocha hata kwenye timu za mchangani achilia mbali hii timu yetu pendwa.

Sizonje anaweza kuwa na akili ya kuku, yeye kusahau alichokisema ni ndani ya muda mfupi tu.
 


Ninaomba msaada. Nini maana ya neno Sizonje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…